πππππWaislamu msipobadili fikra na mtazamo, miaka 200 ijayo mtakuw na hali mbaya sana. Sas hiv mnajifunza karet huko madrasa ili kupambana na ukristo hahahhaha, mnasahau kuwa Dunia inaenda kweny sayansi na teknolojia sijui hilo teke utampiga nani..
Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.Labda unalisikia Kanisa Katoliki kwa juu juu tu. Ndani ya Kanisa Katoliki, hakuna anayeweza kukuruouka na kuropoka kwa suala kama hili. Likitoka tamko la Kanisa Katoliki, tena kupitia TEC, ni tamko wakilishi la maaskofu na taasisi zake zote zinazohusiana na mambo ya utawala.
Ufahamu kuwa karibia mifumo yote ya kiutawala Dunia nzima, hata mifumo ya kimahakama, imerithiwa kutoka Kanisa Katoliki.
Anayeshauriwa ana haki ya kuukataa au kuupokea ushauri. Lakini huo ni msimamo wa Baraza la Maaskofu, na ushauri ukikataliwa, unaenda kufafanuliwa kwa waumini wote mpaka ngazi ya familia ili kila muumini aone ubaya wa mkataba huo.
Nchi na rasilimali zake zote ni zawadi na ni urithi tuliopewa na Mungu wetu. Tuutumie kwa hekima na busara ili na wenzetu watakaokuja baada yetu, nao wawe na nafasi ya kutumia na kufaidika kama tulivyofaidika sisi.
Mbona ww Ni msagaji. Ni tabia yako binafsi.Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.
BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Unapolaumu ushoga wakati wewe umeolewa na mwanamke mwenzio tunakushangaa!! Kwa hiyo ushoga haramu, usagaji halali?Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.
BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Sikujua haya....Taasisi za dini zina hela. Tafuta hela
1. Unajua Magufuli amehodhi robo ya ardhi ya Jimbo la Bashungwa?
2. Unafahamu Sumaye alihodhi nusu ya ardhi ya wilaya ya Mvomero? Alinyang'anywa baada ya kuhamia chadema.
3. Unafahamu mama Anne Makindq ana mahekari ya ardhi kule Bagamoyo?
4. Unaelewa kwamba maeneo mengi yanayotwaliwa na serikali kwa fidia kubwa ili kuweka EPZ mkoani Pwani yanamilikiwa na nani?
5. Unajua kuwa rais Samia ana eneo kubwa Sana Bagamoyo?
6. Unaelewa kuwa Bashe ana maekari ya ardhi Morogoro ambayo ameyafanya kuwa ranch ya mifugo yake ?
7. Umelisikia sakata la Mpina hivi karibuni? Amehodhi ardhi ya vijiji 3.
Tatizo lenu shule inawasumbua sana. Kipindi wanamiliki ardhi nyie mko bize na madrasa.hopsitali kweye eka elfumoja porini?
Njoo lindi uchukue ardhi wanatafutwa wawekezajiSheria za Tanzania za kuhodhi ardhi ni iwe imeendelezwa ndani ya miaka mitatu, kama sikosei.
Zitaje hizo taasisi.Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
S a sa kuna mpango wa BBT, sheria za Twnzqnia kama hukuiendeleza ardhi kwa miaka 3 iende I wa anaeweza kuiendeleza.Tatizo lenu shule inawasumbua sana. Kipindi wanamiliki ardhi nyie mko bize na madrasa.
Wanamiliki ili wajenge kanisa, shule na hospital. Nyie wavaa kobazi eneo lenu la msikiti tu na kisima cha kujitawazia unafikiri mtakuwa mna maeneo makubwa?
Kupewa uongozi kidogo mnauza bandari kwa mwarabu. Nyie hamna akili ya kumiliki ardhi.
Unafahamu kuwa Bakhresa kawa bilionea kwa "kobazi"?
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
Hayo ni maeneo halali yenye hati. RC siyo kama Bakwata, RC mapadri wameenda shule kuna walimu, madaktari na wanasheria. Licha ya hivyo hela ipoS a sa kuna mpango wa BBT, sheria za Twnzqnia kama hukuiendeleza ardhi kwa miaka 3 iende I wa anaeweza kuiendeleza.
Vijana Tanzania wapo wengi wwlioomba kuing I xwa kwenye mpango wa BBT block farming ichukuliwe hiyo ardhi waendelezwe kwa mpango wa BBT.
Hatu haizuwii kutoendeleza ardhi.Hayo ni maeneo halali yenye hati. RC siyo kama Bakwata, RC mapadri wameenda shule kuna walimu, madaktari na wanasheria. Licha ya hivyo hela ipo
Bakwata ina maeneo mengi sana itawapa. Kuna maeneo ya wazi kwenye madufu watapewa bure maana sheria inasema usipocheza madufu miaka 3, utanyang'anywa watapewa wengine.
Mtapewa madufu wala msijali. RC shule ipo pale ndiyo maana ina maeneo makubwa, ina shule, vyuo na hospital. Licha hivyo Pesa ipoHatu haizuwii kutoendeleza ardhi.
Sh8le zina sheria ya maeneo inayoh9dhi, kadome sheria za shule wizara ya elimu. Shule haitakiwi kuwa na zaidi ya eka 100. Labda iwe ni chuo cha kilimo au ufugaji, nazo pia zina kanuni ya ukubwa wa ardhi inazohodhi.Mtapewa madufu wala msijali. RC shule ipo pale ndiyo maana ina maeneo makubwa, ina shule, vyuo na hospital. Licha hivyo Pesa ipo
Njoo kwa Bakwata ina miliki misikiti mikubwa na visima vya kujitawazia.
Story nzuri, Ila Ina ka chuki dhidi ya nyerere na ukristo, Ila ungeweza kujizuia inaonekana una mengi mazuri yanayoweza kuijenga nchi yetu na jamii zetu kupitia historia murua ya kweli.Walikuwa ni Waislam waliokuwa na tamaa zao binafsi, hasad, naamini walikuwa na mpaka sasa wapo wengi Bakwata. Bakwata ni chombo cha serikali kilichoanzishwa na Nyerere, Muislam mwenye kufata Uislam kwa kumcha (kumuogopa) Allah, hakai pale aytajiona kabisa anakwenda kinyume na Uislam.
Hakuna cha Mufti Simba waka Chui, wote ni mafisi tu humo, kazi yao kuokoteza mizoga na mifupa ya ndugu zao wlio wafu.
Juzi juzi walimuita Sheikh Issa wa Masjid maamour wakampa kamati ya kupitia mahesabu, aliyoyakuta huko mwenyewe kaamuwa kuachia ngazi. Unafahamu kwanini>
Siyo nyingine, sasa yeye ndgedere aamuwe kesi ya nyani? Maan Sheikh Issa wanaomjuwa wanafahamu kuwa yeye nye ni mtumwa wa serikali katiaka ma informer wa (UWT) toka zamani sana,
Hilo aliwahi kusema Spearman, rafiki yake alliyemuingiza mjini Sheikh Issa.Huyu Spear alisilimu akawa anajuta sana mambo ya ujahilia aliyokuwa akiyafanya.
Jana sijuwi juzi nilikumbusha kisa alichopigwa kichwa Mbowe ujanani akasema kapigwa tofari, huy spear kwa vijana wa Dar, alikuwa ni katika kundi la kina vijana waliotokea Mwanza, lakina Sudi, Khalifa , SAedou, spear alikuwa mpigapiga picha mitaani madisco, na ma kwenye masherehe. Nnachompendea spear, ni kijana aliyekuwa anajituma na ana akili sana, sema hawa kina Issa ndiyo walikuwa wnampoteza, yeye kasilimu aachane na mambo ya kijinga akawakuta Waislm kinaIssa wanapiga mipango ya kupiga madili kwa kutapeli.
Namfahamu sana huyu mambo yake huyu Issa na kupitia Spear na kwengine.
Spear alikuja kumuoa rafiki yangu, binti moja la kichotara la Shinyanga na Iringa huko, akmsilimisha akampeleka kuhiji, siku hizo spear hapigi picha tena kapata line za National Housinhg.
Dar kuna watu jamani.