Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

Sh8le zina sheria ya maeneo inayoh9dhi, kadome sheria za shule wizara ya elimu. Shule haitakiwi kuwa na zaidi ya eka 100. Labda iwe ni chuo cha kilimo au ufugaji, nazo pia zina kanuni ya ukubwa wa ardhi inazohodhi.

Sheria zifatwe ili vijana waanze kufaidika na ardhi yao.

BBT hoyeee.
RC siyo Bakwata wanaomiliki misikiti, visima vya kujitawazia na kuuza dawa za kienyeji kwenye misikiti.
RC ni taasisi ambayo ina miliki maeneo makubwa ya ardhi, Shule na Hospital. Ili uwe padri lazima uwe na degree, masters au Phd siyo ya dini ya ualimu, uanasheria, udaktari n.k
Sasa wewe umesoma elimu ya madrasa halafu elimu darasa la 7 upo pale Bakwata. Utaumwa na uchungu sana.
Nenda Mang'ola barazani ndiyo utajua nyie elimu inawasumbua sana. Mang'ola ni kijijini kbsa tena mashambani kbsa kuna kanisa kubwa na hospitali na hatua chache kuna msikiti mkubwa na kisima cha kujitawazia. Ndiyo utajua pale nyie mlitumia maka kufikri
 

Attachments

  • FB_IMG_1692087231147.jpg
    FB_IMG_1692087231147.jpg
    29.4 KB · Views: 1
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Wakati wananunua wewe ulikuwa wapi? Usingizi wa pono?🙄
 
Story nzuri, Ila Ina ka chuki dhidi ya nyerere na ukristo, Ila ungeweza kujizuia inaonekana una mengi mazuri yanayoweza kuijenga nchi yetu na jamii zetu kupitia historia murua ya kweli.
Unaposema bakwata ni ya serikali una maana waislamu wa kweli wapo taasisi gani? zipo taasisi za kishia ambao wana vita na bakwata (wasunni) kwa kisingizio cha kuhongwa na serikali kumbe ni utofauti tu wa kimadhehebu ambao waislamu wengi wa kawaida hawaujui.

Lakini yapo makundi mengine ya vurugu na ugaidi, yasipoungwa mkono na bakwata yanakuja na matusi. TANZANIA TULIVU INATEGEMEA BAKWATA TULIVU
Bakwata ni chombo cha serikali, hili wala halina ubishi.

Sheikh kama Issa Ponda Kamwe hawezi kuwa Bakwata.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Huko ndio hata watoto wenu wanasomeshwa na kufuta ujinga wa kuvalia kobazi.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Mapori yspo mengi Kibiti, kafanyìe mazoezi huko.
Chuo cha TANESCO mlichopewa na Mkapa, sasa karibia kuwa magofu.
Ukijua huna foresight, usijishebedue.
 
Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.

BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Ushoga upi? Lini? Kuna mashoga Tanzania waislam wengi sana, na mnawajua. Kanisa katoliki kama kweli we mfuatiliaji utakuwa week hii ulimsikia pope Francis akikumbushia msimamo wa kanisa dhidi ya ushoga na mambo mengine Meusi. Lipo very organised.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
anza na zanziba walipewa shamba la kunenepeshea ng'ombe walivyoona rais mzanzibar juzi wameenda bagamoyo kupima eneo ili wakabidhiwe ardhi.
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
NGURUWE WAFUGWE KWA WINGI MAENEO HAYO..naunga mkono hoja
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.

Unaitaji mume
 
Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.

Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.

Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?

. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.

Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.

Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.

Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.

Nawakilisha.
Kuna ardhi bikra ambayo haina mtu unalalamika [emoji15][emoji12]
 
Back
Top Bottom