Kwanini Taasisi za kidini zinahodhi maeneo makubwa ya Ardhi Tanzania? Wapewe wananchi

RC siyo Bakwata wanaomiliki misikiti, visima vya kujitawazia na kuuza dawa za kienyeji kwenye misikiti.
RC ni taasisi ambayo ina miliki maeneo makubwa ya ardhi, Shule na Hospital. Ili uwe padri lazima uwe na degree, masters au Phd siyo ya dini ya ualimu, uanasheria, udaktari n.k
Sasa wewe umesoma elimu ya madrasa halafu elimu darasa la 7 upo pale Bakwata. Utaumwa na uchungu sana.
Nenda Mang'ola barazani ndiyo utajua nyie elimu inawasumbua sana. Mang'ola ni kijijini kbsa tena mashambani kbsa kuna kanisa kubwa na hospitali na hatua chache kuna msikiti mkubwa na kisima cha kujitawazia. Ndiyo utajua pale nyie mlitumia maka kufikri
 
Wakati wananunua wewe ulikuwa wapi? Usingizi wa pono?🙄
 
Bakwata ni chombo cha serikali, hili wala halina ubishi.

Sheikh kama Issa Ponda Kamwe hawezi kuwa Bakwata.
 
Huko ndio hata watoto wenu wanasomeshwa na kufuta ujinga wa kuvalia kobazi.
 
Mapori yspo mengi Kibiti, kafanyìe mazoezi huko.
Chuo cha TANESCO mlichopewa na Mkapa, sasa karibia kuwa magofu.
Ukijua huna foresight, usijishebedue.
 
Hiyo ilikuwa zamani, ushoga umewaangusha duniani.

BBT ya Samia Suluhu na Hussein Bashe ni mpango kabambe haujawahi kutokea Afrika, hautakiwi ufanikiwe. Tunalijuwa hilo.
Ardhi ya kilimo inahodhiwa na nani?
Ushoga upi? Lini? Kuna mashoga Tanzania waislam wengi sana, na mnawajua. Kanisa katoliki kama kweli we mfuatiliaji utakuwa week hii ulimsikia pope Francis akikumbushia msimamo wa kanisa dhidi ya ushoga na mambo mengine Meusi. Lipo very organised.
 
anza na zanziba walipewa shamba la kunenepeshea ng'ombe walivyoona rais mzanzibar juzi wameenda bagamoyo kupima eneo ili wakabidhiwe ardhi.
 
NGURUWE WAFUGWE KWA WINGI MAENEO HAYO..naunga mkono hoja
 

Unaitaji mume
 
Kuna ardhi bikra ambayo haina mtu unalalamika [emoji15][emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…