Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

jiwe ni waziri wa afya

dada umi sekretari
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Akili zitakurudi tu. Wakisema watu mnadhani wanamsakama wa nyumbani.

Odhis *
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Akili zitakurudi tu. Wakisema watu mnadhani wanamsakama wa nyumbani.

Odhis *
Jaduong hili ni janga la kitaifa. Na kila hoja ambayo huwa naiweka humu ni kwa manufaa ya taifa letu. Weka siasa kando.
 
Ulijuliza kikao cha Mzee kuzungumzia Corona walialikwa wabeba bunduki na si wataalamu wa afya ?!.

Think big onghwise .

Odhis *
Kuna watu wengi walihudhuria pale, una uhakika wote ni wabeba bunduki?

Jaduong Acha ushabiki wa kisiasa.Au sababu alikuwepo Igp,Dg waTiss na Cdf ukajua hakuna watalaamu wa afya?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutakwisha, na tunakwisha kweli! Bilgates alisemaje kumbe vile?
 
Daily briefing ni Muhimu sana kama Wananchi tujue tulipo na tunakoenda ila pia Tupate statistics halisi ili tujue ukubwa wa tatizo na watu wazidi kutake tahadhari zaidi.

Nafikiri pia kuna Task force kama sijakosea PM ndio ana lead the team, Tungeomba basi walau kila jioni wapate live coverage na watuhabarishe wana Taifa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…