Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Inawezekana "wameamuwa" kufanya hivyo ili kupunguza hofu kwa jamii. LAKINI HII NI DALILI MBAYA HUKO MBELENI.

kama hujaelewa soma comments.
 
Wewe ni praise team sasa unataka nani akijibu hili swali wakati wahusika wote huwa unakutana nao huko Lumumba?
Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi.

Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu maambukizi,waliopona na waliofariki.

Au hapa Tanzania ndio kusema mambo yanaenda kimya kimya? Maana watu kila kukicha ni kutishwa tu na habari ambazo sio rasmi.

Mara tunasikia watu wanazikwa usiku, mara tunasikia rubani wa Tanapa alikufa kwa Covid-19,mara kuna maiti imekaa siku mbili mtaa wa Lumumba. Lakini hatusikii serikali ikikanusha wala kuwaambia ukweli wananchi.

Kwa jinsi hili janga lilivyo serious ilipaswa waziri wa afya au msemaji wa serikali angekuwa kila siku anakaa na wanahabari na kutoa takwimu na taarifa rasmi.

Lakini mtu mmoja ambae anamiliki jarida la mtandaoni (Pambazuka) anapoachiwa awe anaandika habari za uongo kuwa watu wanazikwa usiku kimya kimya ni jambo baya maana watu hofu inazidi kwa wananchi.

Inatoka habari kuwa madereva wanne watanzania wamepimwa huko Uganda na kukutwa na ugonjwa wa Covid-19. Hofu inazidi kuwa kubwa kwa wananchi.
Hivyo ili kuondoa hofu lazima mtupatie taarifa rasmi,kama nchi tupo wapi?

Maambukizi ni mengi? Yamepungua? Na wanaopona ni kiasi gani? Hii iwe kila siku na mruhusu kupigwa maswali na waandishi wa habari kama Andrew Cuomo gavana wa New York anavyofanya kila siku. Maana hatulali ni hofu tu.
 
Usichanganye mambo mkuu hio ni Weather forecast, Hapa tunaongelea update za kilichojili kila baada ya muda fulani ni takwimu halisi na sio utabiri ndio mana ya daily briefing
Ndio maana nilimjibu kidhungu vs ug'eg'e. Watu kama hawa hakuna haja ya kuwafafanulia mkuu.
 
Tutakwisha, na tunakwisha kweli! Bilgates alisemaje kumbe vile?

Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)


Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.



Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
 
Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)


Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.



Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Faustine Ndugulile si alisema kujifukiza sio salama? Unaunguza njia ya hewa bure wadudu wanashambulia mapafu moja kwa moja.
 
Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)


Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.



Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Kwa sababu wanakutana na watu wengi zaidi, kwasababu ni Wagonjwa, kwa sababu kinga zao ziko chini, kwa sababu cases nyingi hazijaripotiwa, kwasaba...
 
Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)


Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.



Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Kwa sababu wanakutana na watu wengi zaidi, kwasababu ni Wagonjwa, kwa sababu kinga zao ziko chini, kwa sababu cases nyingi hazijaripotiwa, kwasaba...
 
Tulimpuuza MWIGULU lakini ushauri wake ndo unaotekelezwa
IMG_20200427_190212_419.JPG


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upotoshaji gani? Ufafanuzi gani? Wa nini? Ugonjwa upo tuache siasa na kujimwambafai ujinga.
Sio kujimwambafy waje hao wasemaji rasmi watupe hali halisi ilivyo. Kwani wanashindwa nini kuleta taarifa rasmi.
 
Back
Top Bottom