Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Tafuna pilipili kama India ..ina vtamin C nyingi..ila serikali wametoka ndukiii
 
View attachment 1432832

Tunaambiwa tusizurure bila sababu ya msingi ili kukwepa maambukizi , lakini idadi ya wagonjwa wapya hatuambiwi ! kiongozi anakufa tunaambiwa atazikwa na watu 10 tu bila hata maelezo ya ziada , huku baadhi ya marehemu wengine wakizikwa na zaidi ya watu 10 !

Nchi zote zinazotuzunguka zinatoa taarifa mara kwa mara kuhusu maambukizi ya corona kiasi kinachowahamasisha wananchi wake kujilinda zaidi , sasa pita mitaa ya DSM
ujionee mwenyewe misongamano isiyo
na tahadhari yoyote ile , Ambulance zimeongezeka mitaani utadhani kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe , huku imechukua maiti kule imechukua mgonjwa , hali hii inaleta Taharuki kwa wananchi kiasi cha kuleta hofu kubwa sana .

Hapa Tanzania serikali ina mpango gani , kwanini imeacha mambo hewani tu ili kila mtu aseme lake ?
Wamekufa milioni Saba. Naona rohoo yako imefurahi sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo la kwanza kabisa kuhusu kupinga kutaja idadi ya wagonjwa wapya wa virus vya Corona wanaongezeka kila siku lilitolewa na mbunge wa Iramba Dr Mwigulu Lameck Nchemba.

Nchemba alijenga hoja kwamba kutaja kila siku wagonjwa wapya wa Corona kunawaongezea hofu wananchi, pia mataifa mbalimbali yaliingia kwenye mashindano ya nani ana wagonjwa wengi wa Corona badala ya kujikita kwenye kutoa elimu na kutafuta dawa ya ugonjwa!.

Kama ilivyo kwa kila wazo jipya kupokewa kwa hisia tofauti, ndivyo ilivyokuwa kwa hoja ya Dr Mwigulu, wengi ya watu ambao kwao mawazo ambayo yako beyond average huwatesa sana kuelewa ( chadema) waliponda sana wazo hilo, walisema sasa Nchemba amekwisha kisiasa na kifikra. Kitu cha ajabu kabisa hata msomi Prof Kitila Mkumbo aliingia kwenye anga za chadema akaona hilo kama ngazi ya kupanda kisiasa akaanza kumchafua Nchemba kwa wapiga kura wake kupitia twita!

Naam ,leo ni wiki ya pili sasa tangu Nchemba atoe hilo wazo na hakuna wagonjwa wapya tuliotangaziwa kuongezeka badala yake tunatangaziwa waliopona.
Je hii ina maana gani kwa Chadema?
Au ndiyo inamaanisha ushauri wa Dr Nchemba umefuatwa na wizara ya afya hivyo kuwaacha uchi chadema na Kitila Mkumbo wao?

Yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nchi inapambana kivyake, hao BBC ni lini walikuwa wema kwetu.?
 
Nimetoa ushauri tu.
Mimi kila MwanaCCM na mtu yeyote mwenye mahaba na makufuli kama wewe, akipatwa na coronavirus huwa nafanya sherehe kubwa sana na familia yangu. Hatuwezi kuendeshwa na WEHU wachache kama ninyi.
 
Hamia Nchi ambayo unafikiri wanazo hizo daily briefing.
Mimi kila MwanaCCM na mtu yeyote mwenye mahaba na makufuli kama wewe, akipatwa na coronavirus huwa nafanya sherehe kubwa sana na familia yangu. Hatuwezi kuendeshwa na WEHU wachache kama ninyi.
 
Briefing ya nn, wakati watu wanapona baada ya maombi kutiki.
Shida iliyopo ni Changamoto ya upumuaji tu.
 
Wameamua kututoa kafara. Mungu ni mkubwa. Wao ndo watapukutika na sisi tutabaki. Maana wameamua kuacha ugonjwa uenee huku wakijua hawana hata ventilators 10 nchi nzima.Mungu fundi wao ndo watakaoondoka.
 
Back
Top Bottom