Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

Richard

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2006
Posts
15,692
Reaction score
23,038
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
 
..chuki hii imetokana na ukatili wa Magufuli na genge lake.

..alipokuwa madarakani aliwafanya baadhi ya ndugu zetu wajisikie kama raia wa daraja la pili.

..Rais SSH anatakiwa arudishe UTU na UPENDO kwa Watz wote, na sio kwa wana-CCM peke yao.
 
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
Wafe tu kama kuku hawana maana
 
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
Watu wana chuki sana na utawala wa CCM,wamechoka!

Na sasa uoga unaisha taratibu,siku hizi kukamatwa na polisi sio deal tena la kutisha watu,kukamatwa ni kwenda kula na kulala bure...what a favour!
 
Mtoa hoja upo kwenye comfort zone,wewe na family yako welldone,BUT ungekua ni kaka au dada wa Saanane(tulikua naye humu),Akwilina,etc etc usingekuja na uzi wa kipuuzi kama huu,why unakwenda so low kuhusu binadamu wenzako kuteswa,kuuliwa kisa njaa yako ya tumbo?halafu siku za ibada unakusanya familia yako kwenda kuabudu wakati moyoni kwako umejaa ushetani,Mr.Mbowe yupo jela now na haioni family yake au wapendwa wake je umelifikiria hili?
 
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
Never read rubbish
 
The hate is real..
Walipe Kodi na wao ..
Sio kuwajazia wananchi mikodi na mi tozo
Huku wenyewe hawalipi kodi
The real hate is online. And that's the online political community which is controlled by a small group of people with naked political interests difficult to fulfill.

Ukitaka hii online hate ife, wakabidhi CHADEMA madaraka.

Nakuthibitishia hii nchi wananchi kila mtu anapambania maisha yake, hata hili unalodhani ni hot au mambo ya tozo hakuna anayejali.

Mwezi wa 7, nilikuwa Dar, nikaja Kilimanjaro, nikaenda Arusha na nimezunguza sana katani, vijiji na tarafa.

Ukitaka kujua hakuna anayejali USIWE na BANDO.

In short nchi hii sasa hivi wajanja wameshajimilikisha vimisukule kwaajili ya manufaa yao. Wasanii, wanasiasa na viongozi wa dini, hakuna namna yoyoye unayoweza.kuua HATE kutoka kwa kundi fulani kama hutaweza kumpa MMILIKI wa kundi husika maslahi yake.
 
The real hate is online. And that's the online political community which is controlled by a small group of people with naked political interests difficult to fulfill.

Ukitaka hii online hate ife, wakabidhi CHADEMA madaraka.

Nakuthibitishia hii nchi wananchi kila mtu anapambania maisha yake, hata hili unalodhani ni hot au mambo ya tozo hakuna anayejali.

Mwezi wa 7, nilikuwa Dar, nikaja Kilimanjaro, nikaenda Arusha na nimezunguza sana katani, vijiji na tarafa.

Ukitaka kujua hakuna anayejali USIWE na BANDO.

In short nchi hii sasa hivi wajanja wameshajimilikisha vimisukule kwaajili ya manufaa yao. Wasanii, wanasiasa na viongozi wa dini, hakuna namna yoyoye unayoweza.kuua HATE kutoka kwa kundi fulani kama hutaweza kumpa MMILIKI wa kundi husika maslahi yake.
Mitandao inatoa picha ya uongo sana.
 
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
Bado wewe
 
Mtoa hoja upo kwenye comfort zone,wewe na family yako welldone,BUT ungekua ni kaka au dada wa Saanane(tulikua naye humu),Akwilina,etc etc usingekuja na uzi wa kipuuzi kama huu,why unakwenda so low kuhusu binadamu wenzako kuteswa,kuuliwa kisa njaa yako ya tumbo?halafu siku za ibada unakusanya familia yako kwenda kuabudu wakati moyoni kwako umejaa ushetani,Mr.Mbowe yupo jela now na haioni family yake au wapendwa wake je umelifikiria hili?
Nimefikiria yote hayo.

Mimi najiuliza hii "standoff" nani ni mshindi mshika mpini au alieshika makali?

Nimejiuliza pia ukimya wa Tundu Lissu.

Kama polisi ina ushahidi iutoe la imuachie.
 
Mtoa hoja upo kwenye comfort zone,wewe na family yako welldone,BUT ungekua ni kaka au dada wa Saanane(tulikua naye humu),Akwilina,etc etc usingekuja na uzi wa kipuuzi kama huu,why unakwenda so low kuhusu binadamu wenzako kuteswa,kuuliwa kisa njaa yako ya tumbo?halafu siku za ibada unakusanya familia yako kwenda kuabudu wakati moyoni kwako umejaa ushetani,Mr.Mbowe yupo jela now na haioni family yake au wapendwa wake je umelifikiria hili?
Kijana yeyote akishakuwa na mentality za CCM automatically anageuka rubbish,wewe angalia mtu yeyote mwenye affiliation na hicho chama akiwa anajenga hoja kwenye jambo lolote,ni ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom