Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

..chuki hii imetokana na ukatili wa Magufuli.

..alipokuwa madarakani aliwafanya baadhi ya ndugu zetu wajisikie kama raia wa daraja la pili.

..Rais SSH anatakiwa arudishe UTU na UPENDO kwa Watz wote, na sio kwa wana-CCM peke yao.
Waache wavune walichopanda. Huwezi kupanda mahatage ukavuna kunde
 
The real hate is online. And that's the online political community which is controlled by a small group of people with naked political interests difficult to fulfill.

Ukitaka hii online hate ife, wakabidhi CHADEMA madaraka.

Nakuthibitishia hii nchi wananchi kila mtu anapambania maisha yake, hata hili unalodhani ni hot au mambo ya tozo hakuna anayejali.

Mwezi wa 7, nilikuwa Dar, nikaja Kilimanjaro, nikaenda Arusha na nimezunguza sana katani, vijiji na tarafa.

Ukitaka kujua hakuna anayejali USIWE na BANDO.

In short nchi hii sasa hivi wajanja wameshajimilikisha vimisukule kwaajili ya manufaa yao. Wasanii, wanasiasa na viongozi wa dini, hakuna namna yoyoye unayoweza.kuua HATE kutoka kwa kundi fulani kama hutaweza kumpa MMILIKI wa kundi husika maslahi yake.
Kwahiyo wanaoandika mtandaoni hawakai mitaani?.Kilichoko mitandaoni ndicho hicho hicho kilichoko mitaani,kama wewe unaweza kulijua jambo kupitia mtandao jua na mwingine ambaye humjui anaweza kujua vile vile.kwa mfano unadhani ni magroup mangap ya whatsap yanashare habari za hapa na pale na hata za hapa JF,hivyo ndivyo mitandao inavyorahisisha kupashana habari ata kama sio watu wote mtaani wataongea ila hiyo haimaanishi kwamba hawana taarifa au hawajui chochote.
 
Kweli? 😉

Mimi na wanyaturu dugu moja.
Bwana Richard asante kwa kutupa taarifa kuwa Wakati Wa Mwinyi akiwa Ulinzi walikuwa pamoja na Kwandikwa. Hii inanipa picha kuwa kilichofanyika Oktoba 2020 kule zanzibar na maeneo mengi hapa bara anakijua vizuri. It will cost them for several tens years
 
Kwahiyo wanaoandika mtandaoni hawakai mitaani?.Kilichoko mitandaoni ndicho hicho hicho kilichoko mitaani,kama wewe unaweza kulijua jambo kupitia mtandao jua na mwingine ambaye humjui anaweza kujua vile vile.kwa mfano unadhani ni magroup mangap ya whatsap yanashare habari za hapa na pale na hata za hapa JF,hivyo ndivyo mitandao inavyorahisisha kupashana habari ata kama sio watu wote mtaani wataongea ila hiyo haimaanishi kwamba hawana taarifa au hawajui chochote.
Hahaha sisi tunaishi twiter ndivyo wanvyojipa moyo
 
Nimekuja kugundua mitandao imejaa watu wenye tatizo la Afya ya akili.

Ukiwa na shughuli za kukuweka busy, majukumu mpaka ukashindwa kuwa online ndio utajionea hali tofauti kabisa.
Hapa ulipo sio mtandaoni?? Una matatizo ya afya ya akili? huna shughuli za kufanya?
😅😅🤣Hivi ukiwa mwanaccm ndio kusema kichwa kinajaa maji?
 
Anakuwa mchawi na muuaji. Mtu mwenye ubinadamu hawezi kusapoti matendo ya kiccm
Wanalishana Ujinga mtupu.Eti waziri anatumwa na Rais kwenda kuchukuwa dawa ya mitishamba ya kutibu COVID kwa ndege kwa gharama za fedha za walipa kodi alafu anakuja na kuitisha press kutumbia eti dawa hii ni nzuri sana na kule madagascar dawa hii inatolewa na rais mwenyewe-what a shame? 🤣 🤣 🤣
 
Hapa ulipo sio mtandaoni?? Una matatizo ya afya ya akili? huna shughuli za kufanya?
😅😅🤣Hivi ukiwa mwanaccm ndio kusema kichwa kinajaa maji?
Kwahiyo mitandao imejaa makada wa vyama vya siasa ?

Kila aliye mtandaoni lazima awe kada wa chama cha siasa ?
 
Anakuwa mchawi na muuaji. Mtu mwenye ubinadamu hawezi kusapoti matendo ya kiccm
Suala ninaloliona ni jinsi gani upinzani washindwa kujitengeneza upya na kimkakati kulingana na wakati.

Nimeandika sana hapa ila naona sieleweki.

Mimi mwenyewe binafsi sipendi serikali inayofanya mambo yake kinguvu au kimabavu.

Lakini pia serikali na upinzani wanashindwa kueleza ni kwa vipi wanashindwa kukaa meza moja wakazungumza?

Nimemwelewa sana Tundu Lissu kwamba anajitahidi kupata info kupitia wasaidizi wa raisi, lakini hakuna ushirikiano wa kimkakati kati yake na Mbowe.

Hili kwenye upinzani ni tatizo kubwala kiufundi.

Pia Zitto na Mbatia ni sehemu ya tatizo kubwa la kiufundi kwa Upinzani.

Sidhani kama wengi wanaelewa ninachokiongea.
 
Nimesikitishwa sana na tabia ya baadhi ya watanzania kuonyesha uwezo mkubwa wa kutabiri vifo, kuvifuatilia vitokepo na kusema sababu ni UVIKO-19 na kadhalika.

Ni juzi tu tumeondokewa na aliekuwa waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Elias Kwandikwa.

Haijaelezwa kinaga ubaga kuhusu kifo chake lakini huko Twitter imeelezwa kuwa sababu ya kifo chake ni UVIKO-19

Marehemu Elias Kwandikwa amekaa wizara ya ulinzi kwa muda akimsaidia raisi wa sasa wa Zanzibara Dr Hussein Mwinyi ambae ndie alikuwa waziri wa Ulinzi.

Lakini kinachonitatiza ni jinsi vifo vya baadhi ya hawa watu, historia zao na jinsi watabiri wanavyoweza kusema kuwa "akitoka huyu bado yule" bila woga wala wasiwasi.

Kwa mfano marehemu Kwandikwa hadi kifo chake alikuwa akishughulikia suala la magaidi wa Msumbiji kuhakikisha hawaingii tena nchini kupitia mikoa ya kusini khasa Wilaya ya Kibiti.

Lakini baada ya kufariki mara tu mtu asema "na bado mpaka wote waishe".

Je, ni nguvu gani iliyopo nyuma ya matamko kama haya?

Katika nchi ambazo hazizingatii umakini katika kudhibiti taarifa na kuzushughulia ipasavyo bila kutoa vitisho, makaripio na matamko kupitia msemaji wa serikali ni Tanzania.

Ila haiwezekani watu wakawa huru kabisa kutamka mitandaoni kwamba anaefuata baada ya kufa huyu ni CFD au IGP au KBD na kadhalika na wakaachiwa tu hivihivi kuwepesi.

Napenda kutoa ujumbe kwa kiota akaacho ndege wetu mzuri wa Tai.

Hiki kiota ni moja ya viota vichache ambavyo vinaaminika.

Ingawa nasikia mbawa moja imejeruhiwa lakini nina matumaini utapona na utaweza kuruka sawasawa.

Nina matumaini siku si nyingi utaweza kuruka juu zaid na zaidi kuona kila kitu.

Kwa sasa tulia tu upone na na nina uhakika unaona baadhi na wale sungura walo chini wakuona kwa mbali ukiwa huweza kushuka kwa kasi.
Naona umeshawataja watakaofuatia kwenda kwa mwendazake.

Heee huu uzi na subscribe kabisa..mnaweza kuwa mpo kazini.
 
Hawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana na tutawatangaza kwenye mitandao sana tu.
 
Kwahiyo wanaoandika mtandaoni hawakai mitaani?.Kilichoko mitandaoni ndicho hicho hicho kilichoko mitaani,kama wewe unaweza kulijua jambo kupitia mtandao jua na mwingine ambaye humjui anaweza kujua vile vile.kwa mfano unadhani ni magroup mangap ya whatsap yanashare habari za hapa na pale na hata za hapa JF,hivyo ndivyo mitandao inavyorahisisha kupashana habari ata kama sio watu wote mtaani wataongea ila hiyo haimaanishi kwamba hawana taarifa au hawajui chochote.
Kwani watu walioko Twitter, Facebook na Instagram wanaendeshwa na matukio na harakati zinazofanana ?
 
Suala ninaloliona ni jinsi gani upinzani washindwa kujitengeneza upya na kimkakati kulingana na wakati.

Nimeandika sana hapa ila naona sieleweki.

Mimi mwenyewe binafsi sipendi serikali inayofanya mambo yake kinguvu au kimabavu.

Lakini pia serikali na upinzani wanashindwa kueleza ni kwa vipi wanashindwa kukaa meza moja wakazungumza?

Nimemwelewa sana Tundu Lissu kwamba anajitahidi kupata info kupitia wasaidizi wa raisi, lakini hakuna ushirikiano wa kimkakati kati yake na Mbowe.

Hili kwenye upinzani ni tatizo kubwala kiufundi.

Pia Zitto na Mbatia ni sehemu ya tatizo kubwa la kiufundi kwa Upinzani.

Sidhani kama wengi wanaelewa ninachokiongea.

..inawezekana pia " Mama " is not in full control of our government. Kuna mambo yanafanyika ambayo ni kinyume na muelekeo ambao " Mama " alieleza kwamba anataka kuufuata.
 
..inawezekana pia " Mama " is not in full control of our government. Kuna mambo yanafanyika ambayo ni kinyume na muelekeo ambao " Mama " alieleza kwamba anataka kuufuata.
Unafahamu ndugu, watanzania walo wengi ni wanafiki sana.

Kwa mfano mtu anaanza kuruhusu watu kusafiri kufuja fedha za walipa kodi na hakuna anaekemea jambo hilo.

Au mtu anaruhusu DC wa moja ya zile wilaya za mkoa wa Pwani aondolewe ili zile hoteli, viwanda na mambo mengine yaendelee, je watanzania wanafahamu mambo haya?

Inajulikana Kisarawe kuna mahoteli ambayo yaingiza fedha kigeni kule na zote zilikuwa hoi wakati wa JPM.

Ila ukisema muelekeo ambao mama alieleza anataka kuufuata ni ule mwelekeo wa kuwaruhusu wahujumu uchumi wa nchi hii waendelee kuihujumu nchi hii?

Au muelekeo wa wale ambao wanaona mtu kama Manji hafai kuendelea kufanya biashara zake chafu Tanzania?

Imefika wakati watanzania waambiwe ni nini chaendelea, ili watambue kuwa nchi yao imerudi kabla ya 2015.

Hivi vitendo vya kihuni, ujambazi, na pengine kukolimbana kunakofanywa sasa hivi ni lazima vikomeshwe.
 
Unafahamu ndugu, watanzania walo wengi ni wanafiki sana.

Kwa mfano mtu anaanza kuruhusu watu kusafiri kufuja fedha za walipa kodi na hakuna anaekemea jambo hilo.

Au mtu anaruhusu DC wa moja ya zile wilaya za mkoa wa Pwani aondolewe ili zile hoteli, viwanda na mambo mengine yaendelee, je watanzania wanafahamu mambo haya?

Inajulikana Kisarawe kuna mahoteli ambayo yaingiza fedha kigeni kule na zote zilikuwa hoi wakati wa JPM.

Ila ukisema muelekeo ambao mama alieleza anataka kuufuata ni ule mwelekeo wa kuwaruhusu wahujumu uchumi wa nchi hii waendelee kuihujumu nchi hii?

Au muelekeo wa wale ambao wanaona mtu kama Manji hafai kuendelea kufanya biashara zake chafu Tanzania?

Imefika wakati watanzania waambiwe ni nini chaendelea, ili watambue kuwa nchi yao imerudi kabla ya 2015.

Hivi vitendo vya kihuni, ujambazi, na pengine kukolimbana kunakofanywa sasa hivi ni lazima vikomeshwe.
Unachopaswa kukizingatia ni kwamba hakuna utawala uliokuwa wa kiovu na ambao haupaswi kuigwa kwa lolote kama utawala wa MEKO,MEKO kupitia kina sabaya amepora wafanyabiashara hela zao halali,Amebambikia kesi watu kushinda rais yeyote yule,Watu wamepotea na kuuwawa isivyo kawaida,watu wametekwa na wengine wamepigwa risasi hadharani,viongozi wa dini wametukanwa makanisani,wanawake wamedharauliwa hadharan,au ni 2015 ipi unayo izungumza wewe? Mama akiturudisha hata mwaka 1961 sawa tu lakini siyo kwa mambo ya hovyo ya MEKO unayejaribu kumtetea.MEKO ndo muhujumu uchumi wa kwanza-Hela za kujenga Interchange ya ubungo iliyotajwa na CAG kwamba ilitumiwa vibaya ilikwenda wapi? Trilion 1.5 ambazo hazijulikani zilipo alizipeleka wapi?
 
Magaidi yana umoja mno .

Anayeangushwa na konyagi alafu akasingizia amepigwa na wasiojulikana ni gaidi tu.
 
Suala ninaloliona ni jinsi gani upinzani washindwa kujitengeneza upya na kimkakati kulingana na wakati.

Nimeandika sana hapa ila naona sieleweki.

Mimi mwenyewe binafsi sipendi serikali inayofanya mambo yake kinguvu au kimabavu.

Lakini pia serikali na upinzani wanashindwa kueleza ni kwa vipi wanashindwa kukaa meza moja wakazungumza?

Nimemwelewa sana Tundu Lissu kwamba anajitahidi kupata info kupitia wasaidizi wa raisi, lakini hakuna ushirikiano wa kimkakati kati yake na Mbowe.

Hili kwenye upinzani ni tatizo kubwala kiufundi.

Pia Zitto na Mbatia ni sehemu ya tatizo kubwa la kiufundi kwa Upinzani.

Sidhani kama wengi wanaelewa ninachokiongea.

Zito na Mbatia tangia lini ni wapinzani?
Lisu na Mbowe wana character tofauti sana! Mbowe ni mtulivu Lissu bado anahasira na hawazi kwa umakini sana! Ndani ya upinzani ccm imajaza watu kibao tusiwalaumu hawa wajiita wapinzani wanakitu ila mazingira sio fair bado!
 
Unafahamu ndugu, watanzania walo wengi ni wanafiki sana.

Kwa mfano mtu anaanza kuruhusu watu kusafiri kufuja fedha za walipa kodi na hakuna anaekemea jambo hilo.

Au mtu anaruhusu DC wa moja ya zile wilaya za mkoa wa Pwani aondolewe ili zile hoteli, viwanda na mambo mengine yaendelee, je watanzania wanafahamu mambo haya?

Inajulikana Kisarawe kuna mahoteli ambayo yaingiza fedha kigeni kule na zote zilikuwa hoi wakati wa JPM.

Ila ukisema muelekeo ambao mama alieleza anataka kuufuata ni ule mwelekeo wa kuwaruhusu wahujumu uchumi wa nchi hii waendelee kuihujumu nchi hii?

Au muelekeo wa wale ambao wanaona mtu kama Manji hafai kuendelea kufanya biashara zake chafu Tanzania?

Imefika wakati watanzania waambiwe ni nini chaendelea, ili watambue kuwa nchi yao imerudi kabla ya 2015.

Hivi vitendo vya kihuni, ujambazi, na pengine kukolimbana kunakofanywa sasa hivi ni lazima vikomeshwe.

..Na Watz lazima waelezwe kwamba " magu-nomics " was not working, and we were about to sink economically.

..Watz wanataka kuishi kwenye nchi ya HAKI, inayoongozwa kwa sheria na katiba, na siyo matakwa ya mtu mmoja na genge lake.
 
Back
Top Bottom