Kwanini Tanzania tu mtu anakuwa hana woga wa kusema mitandaoni?

Free nation with free right to speak under Democracy, wacha kuingikia uhuru wa kujieleza....tena sio hayo tu kuna list ya watu wakitaka hawa watangulie mbele za haki
...zungu yule wa tozo
...hamis kingwala
...ndugulile
....mwigulu
....ndugai
....maushungi mzenjibar
......Igp
hii ni list ya mkeka ambayo watu wa jamuhuri ya twitter wamekuwa wakiombea itiki, so serkal haina neno kwa hik knachoendelea, acha wafu wazike wafu wao haya ni maneno yao si yangu......
 
Unakaaje meza moja na mtu aliyeehuka ana ameshika mapanga yuko tayari kukata kichwa?

Hii scenario unayoeleza ni rahisi kuiandika lakini kuutekeleza ni ngumu sana. Extent walipofikia Serikali na ccm ni ile ya Somalia, Drc, Sudani na Rwanda
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…