Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu weka mistari iliyonyooka acha kukwepa hojaAchana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Inadhihirisha umesoma heading kisha ukakurupuka kuandika.Wayahudi wao pasaka huwa lini?
Mpangilio upo sawa kwa siku ,tofauti ni mfumo wa majirani ikiwa saa , siku na miezi ya sasa.Pasaka ina siku maaalumu kibliblia ni tarehe 14 kama sikosei..
But Council of Naecea Changed it
Wamepingana na Neno la MunguPasaka ina siku maaalumu kibliblia ni tarehe 14 kama sikosei..
But Council of Naecea Changed it
Tarehe 14/01 kila mwaka..Wayahudi wao pasaka huwa lini?
Pasaka ni sahihi lakini tarehe ndizo upaganiChristmas ndio sherehe ya kipagani.
Pasaka iko sahihi sema tunatumia Kalenda ya Kizayuni kufanya pasaka ila kwenye masiku tunatumia Kalenda ya Rumi .
Kwahiyo usihofu kula pasaka kwa raha zako.
Ila Christmas na ibada ya Jumapili ni asili ya upagani
Yeah True kabisa!Wamepingana na Neno la Mungu
Ufunuo wa Yohana 22: 18. Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
19. Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Sio Kweli hata kidogo Mkuu!Mpangilio upo sawa kwa siku ,tofauti ni mfumo wa majirani ikiwa saa , siku na miezi ya sasa.
Daktari kumbuka hii kalenda ni ya mwezi na siyo ya jua kama hii Gregorian, so hiyo ya mwezi haiwezi kuwa fixed.Tarehe 14/01 kila mwaka..
Mambo ya Walawi 23:5
"Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni pasaka ya BWANA."
Hesabu 9:5
"Nao wakaishika Pasaka katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, katika bara ya Sinai vile vile kama hayo yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya wana wa Israeli."
Hesabu 28:16
"Tena, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, ni pasaka ya BWANA."
au unaitwa Mwezi wa Abibu...
Kumbukumbu la Torati 16:1
"Utunze mwezi wa Abibu, ukamfanyie pasaka BWANA, Mungu wako, kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa Abibu alipokutoa Misri usiku BWANA; Mungu wako."
Iko hivi; Duniani kuna kalenda zaidi ya kumi ila kalenda maarufu zaidi ni hii ya Warumi ambayo Mataifa mengi tunatumia. Ni hii ambayo leo inasema ni April 01, 2024..Pasaka ni sahihi lakini tarehe ndizo upagani
Ok Then leo ni Tarehe 22 mwezi wa Adar II mwaka 5784Daktari kumbuka hii kalenda ni ya mwezi na siyo ya jua kama hii Gregorian, so hiyo ya mwezi haiwezi kuwa fixed.
Tarehe ya kiyahudi leo ni tarehe 22 mwezi wa Adar II mwaka 5784..Iko hivi; Duniani kuna kalenda zaidi ya kumi ila kalenda maarufu zaidi ni hii ya Warumi ambayo Mataifa mengi tunatumia. Ni hii ambayo leo inasema ni April 01, 2024..
Pasaka iko kwenye kalenda ya Wayahudi, sasa sisi tunaifuata pasaka kwa mujibu wa kalenda yao na sio wao wanaifuata kalenda yetu.
Ni sawa na Mwarabu akuambie pesa yako uje uchukue tarehe 15. 01. 675, wewe utalinganisha kwenye kalenda yako ili upate kumbukumbu sahihi tu.
Kuna kitu umeshindwa kuelewa mkuu. Hatusheherekei siku bro, tunasheherekea "tukio".Christmas ndio sherehe ya kipagani.
Pasaka iko sahihi sema tunatumia Kalenda ya Kizayuni kufanya pasaka ila kwenye masiku tunatumia Kalenda ya Rumi .
Kwahiyo usihofu kula pasaka kwa raha zako.
Ila Christmas na ibada ya Jumapili ni asili ya upagani
Ni wiki ya 18 toka mwaka uanze.Pasaka imesetiwa lazima iwe siku ya jumapili , kwa hiyo mwakani inaweza kuwa tarehe za mbele, Mana mpaka Sasa bado hawajaiweka kwenye kalenda ya mwakani, Haina tarehe maalum ila Ina siku maalum