Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Umeanza eh? We huogopi guede mbona jitu la Miraba 6 lileWamezingua! Yaani Guede wanampeleka Zenji akichanganyikiwa na wale watoto wa kipemba nitakua na changu mimi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza eh? We huogopi guede mbona jitu la Miraba 6 lileWamezingua! Yaani Guede wanampeleka Zenji akichanganyikiwa na wale watoto wa kipemba nitakua na changu mimi!?
Naunga mkono hojaHaya ndiyo madhara ya kuwaruhusu wanasiasa na makada wa chama tawala kuisimamia michezo. Shirikisho la mpira lingekuwa linasimamiwa na wataalamu wa mpira, ubabaishaji kama huu usingetokea.
Usinivunje moyo😣Umeanza eh? We huogopi guede mbona jitu la Miraba 6 lile
We dada hata mi Nina wivu, ngoja nikampige misumari guede mpaka akimbie nchiUsinivunje moyo😣
Tokea lini mkuu😂We dada hata mi Nina wivu, ngoja nikampige misumari guede mpaka akimbie nchi
Ngoja niingie chimbo hapa nichukue jini Moja la mayele nimpe guede, huyu ashayatimbaTokea lini mkuu😂
Huitakii mema Yanga yetu😂Ngoja niingie chimbo hapa nichukue jini Moja la mayele nimpe guede, huyu ashayatimba
Paka SASA huna chakoWamezingua! Yaani Guede wanampeleka Zenji akichanganyikiwa na wale watoto wa kipemba nitakua na changu mimi!?
As it pleases your honor!Kuboresha Muungano na kudhibitisha kuwa hakuna m'Tanzania bara atakayedaiwa PASSPORT.
Ina mamlaka yake kisoka kama nchiZanzibar ni Kenya?
Watoto wa kipemba mabantam wamefyanta wakivaa kama viroba shepu mshumaa.Wamezingua! Yaani Guede wanampeleka Zenji akichanganyikiwa na wale watoto wa kipemba nitakua na changu mimi!?
Hayo mashindano ya kimataifa ni kawaida.Al Ahly Vs USM Alger.
Ilikuwa fainali ya CAF SUPER CUP.
Fainali hiyo haikupigwa Africa.
Na ni msimu uliopita tu
Kuna wahaya wachache tulinyimwa chogo nyuma nikiwemoWatoto wa kipemba mabantam wamefyanta wakivaa kama viroba shepu mshumaa.
Wasikutishe mhaya mwenye wowowo lako.
wales Karia ni TISSAcheni siasa mnaharibu soka letu mechi ya bara mnapeleka visiwani ili mgundue nini? TFF mnaipeleka Fainali Zanzibar, sehemu ya nje ya utawala wa FA husika?
Lini mmewahi kuona FA ya Uingereza imepeleka fainali Ireland, au Scotland?
Lini mmewahi kuona FA ya Ujerumani imepeleka fainali zao Uturuki?
TFF MJITATHMINI.
bora kuliko hilo liuwanja la manyara!