Kwanini TFF mnaipeleka fainali Zanzibar?

Kwanini TFF mnaipeleka fainali Zanzibar?

Haya ndiyo madhara ya kuwaruhusu wanasiasa na makada wa chama tawala kuisimamia michezo. Shirikisho la mpira lingekuwa linasimamiwa na wataalamu wa mpira, ubabaishaji kama huu usingetokea.
Naunga mkono hoja
 
Wamezingua! Yaani Guede wanampeleka Zenji akichanganyikiwa na wale watoto wa kipemba nitakua na changu mimi!?
Watoto wa kipemba mabantam wamefyanta wakivaa kama viroba shepu mshumaa.
Wasikutishe mhaya mwenye wowowo lako.
 
Al Ahly Vs USM Alger.

Ilikuwa fainali ya CAF SUPER CUP.

Fainali hiyo haikupigwa Africa.

Na ni msimu uliopita tu
 
Acheni siasa mnaharibu soka letu mechi ya bara mnapeleka visiwani ili mgundue nini? TFF mnaipeleka Fainali Zanzibar, sehemu ya nje ya utawala wa FA husika?

Lini mmewahi kuona FA ya Uingereza imepeleka fainali Ireland, au Scotland?

Lini mmewahi kuona FA ya Ujerumani imepeleka fainali zao Uturuki?

TFF MJITATHMINI.
wales Karia ni TISS
 
Back
Top Bottom