Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kwahio jamaa anatulisha matango pori?
Sana tu...
Wana mishahara ya kawaida tu, isipokuwa wana marupurupu na priviledges kama kusomeshwa na trainings za mara kwa mara...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio jamaa anatulisha matango pori?
Angalau na madaktari basi wangepewa katika viwango hivyo.Wenzenu wakati wanasoma vitu vigumu kama petroleum engineering e.tc mlikuwa mnawasema vibaya ati wanasoma kama wametumwa na kijiji.
Leo wanapokea pesa ndefu mnawaonea dongo
Nimeamini leo waswahili hatupendani kumbe ukianza kazi na mtu akiona mafanikio yako anapata kijiba cha rohoYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Haijulikani lakini pesa ya wizi ni nzuri yaani ukiingia kazini usiogope kufukuzwa kazi , piga kazi kwa mahesabu mazito .Tra hiyo
Hata hueleweki ulicho andika.Ni kweli watu special maisha na afya ya kiumbeni yanategemea WATU WA AFYA. Unahoja?
Sasa japo.kuna siri nyuma huenda iyo prado kaivuta kwa mkopoYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Zote, ila ugumu wa MD ni wingi wa slides tu hakuna cha ziada.Ni taaluma gani ambayo hautameza slides?
Petroleum engineering ni ngumu kuliko civil
Sasa ndo wawe wanawatolea mfano kwenye kila jambo jamani?Hawadhauliki kila mtu atakula kulingana na urefu wa kamba yake
Aisee si afadhali na mimi unipatie connection hapa na kadiploma kwangu. Huko itakuwa kuna afadhali kwa kweli.Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
Kwani Burundi ni darajaHuwa unawashwa na waalimu
Kama sio MWALIMU ungejua kuandika huu uharo?
Hiyo laki tatu ni daraja gani? Burundi au TZ
Mimi ninadhani hoja ingekuwa kuiomba serikali iboreshe na maeneo mengine lakini siungi mkono kutaka na wengine washushwe.Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Acha ujinga wewe kwa kuleta taarifa ya uongo hapa jukwaani. TPDC kwa mtumishi anae anza kazi hapati kiasi hicho cha mshahara ni uongo na isitoshe TPDC wanalipwa mshahara moja kwa moja kutoka Hazina kwahiyo tafuta taarifa utajua ukweli,lakini acha kupotosha jamii. JamiiForums futeni hii thread huu ni uongoYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
dismas fuko mzee niliishi naye mtaa mmojaa ni mtu wa dini sanaa na mkalimu sana.Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
dada mlamayao kamwenee[emoji16][emoji16][emoji23]nilihamishiwa Idara nyingine ya Serikali nono zaidi ya TPDC
We inakuuma nn..tulia tulia kwenye kumbi za kimataifa hahaha mpwayunguYani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.
Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.
Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].
View attachment 2443725
Yes Mzee Fuko ni mtu mwema sana,ni Board Member wa TPDC sasa baada ya kustaafudismas fuko mzee niliishi naye mtaa mmojaa ni mtu wa dini sanaa na mkalimu sana.