Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Kwanini TPDC wanalipwa mshahara mkubwa kiasi hiki?

Wenzenu wakati wanasoma vitu vigumu kama petroleum engineering e.tc mlikuwa mnawasema vibaya ati wanasoma kama wametumwa na kijiji.

Leo wanapokea pesa ndefu mnawaonea dongo
Angalau na madaktari basi wangepewa katika viwango hivyo.

Na hao waliosoma madegree hayo sawa, lakini madereva wamesoma maengineering gani nao mishahara yao ni ya sayari ya mbali?

Kuna kipindi niliwahi kumtania mmoja wa wafanyakazi nikamwambia bora nije kuomba udereva huko kuliko huku serikalini na cheo hichi ambacho mshahara wake duh!
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Nimeamini leo waswahili hatupendani kumbe ukianza kazi na mtu akiona mafanikio yako anapata kijiba cha roho
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Sasa japo.kuna siri nyuma huenda iyo prado kaivuta kwa mkopo
 
Kama ana Upper Second mwambie anitafute nimuunganishie akaanze hata kujitolea TPDC au PURA maana Mkurugenzi Mkuu wa PURA Eng.Sangweni ni mshkaji wangu anaweza akamsaidia,na uzuri pale ukipata nafasi ya kujitolea kisha nafasi zikaja kutangazwa official unachukuliwa kirahisi,na wao huwa wanatangaza wenyewe hawapitii PSRS
Aisee si afadhali na mimi unipatie connection hapa na kadiploma kwangu. Huko itakuwa kuna afadhali kwa kweli.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Mimi ninadhani hoja ingekuwa kuiomba serikali iboreshe na maeneo mengine lakini siungi mkono kutaka na wengine washushwe.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Inamana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
Acha ujinga wewe kwa kuleta taarifa ya uongo hapa jukwaani. TPDC kwa mtumishi anae anza kazi hapati kiasi hicho cha mshahara ni uongo na isitoshe TPDC wanalipwa mshahara moja kwa moja kutoka Hazina kwahiyo tafuta taarifa utajua ukweli,lakini acha kupotosha jamii. JamiiForums futeni hii thread huu ni uongo
 
Nilifanya kazi TPDC enzi Mkurugenzi Mkuu akiwa Yonna Kilagane,Mwenyekiti wa Bodi alikuwa General Mstaafu Robert Mboma,Mkurugenzi wa Masoko akiwa Dismas Fuko, Mkurugenzi wa Exploration Halfan Halfan ambaye baada ya kustaafu Mama Samia kamteua kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TPDC hapohapo,enzi Ofisi zipo Upanga kabla hatujahamia Mkapa Tower.
Uzuri wa TPDC upo kwenye kuwajali wafanyakazi wake kitaaluma,maana ukipelekwa kusoma Masters au PhD Ulaya unalipwa mpaka Pesa ya Pedi inakuwa kwenye Bajeti yako.Wakati huo Eng.Modestus Lumato alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA,wakati Eng.Charles Sangweni alikuwa Ofisa wa kawaida na sasa hivi ni Mkurugenzi Mkuu wa PURA.
Bwana MPWAYUNGU uliza swali lolote kuhusu TPDC nitakujibu
dismas fuko mzee niliishi naye mtaa mmojaa ni mtu wa dini sanaa na mkalimu sana.
 
Yani kuna ugumu gani wa kazi kwenye hili shirika? Maana anayeanza kazi tu anakomba mpaka million tano kwa mwezi. Ni mshahara wa mwaka mzima wa mwalimu.

Ina maana kazi yao inaendana na kiwango cha mshahara? Dogo kaingizwa juzi tu kimagumashi hana hata miaka mitatu tayari kashusha Prado mpya zero kilometer pale Port. Nishauri serikali siyo nawaonea donge, ila wajaribu kupunguza hiki kiwango, haiwezekani mshahara wa mwalimu yeye anapiga kwa siku moja tu.

Nataka kujua kwa lipi hasa mpaka wapewe pesa ndefu kiasi hiki, yaani unakaa miaka mitano tu kazini tayari salary slip inasoma million nane [emoji849].

View attachment 2443725
We inakuuma nn..tulia tulia kwenye kumbi za kimataifa hahaha mpwayungu
 
Back
Top Bottom