REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Pole Kijana kumbe ndio uko hapo?Tatizo ni kuwa nyani haoni kundule.
Kwamba usiyependa kutype na ambaye vidole vyake vina ushirikiano kabisa na kichwa chako ndiyo wewe?
Mbona kazi ipo? Ushauri wa bure:
View attachment 2536643
na hapa hasa ndipo tatizo linapoanzia, kuamini kuwa unatibiwa bure. Ile sio bure ikiwa wewe ama aliefanya upate hiyo kadi anakatwa pesa za mchango kila mwisho wa mwezi.wewe una hasara gani si umetibia bure waache wapambane na bima weww sepa
Hii ni Bill ya NHIF au Cash?Bugando wanakuprintia bili yako yoteView attachment 2536644
Nikosa, waambie wakupe wacopy form yako ni mali yako. Wakikataa wasiliana na bima namba zao zipo kila hospitali.Wameongeza jambo lingineda huu unaunishwa form ikiwa empty Yani haijajazwa vipimo Wala dawa ukiuliza kopy yako wanakwambia ngoja utibiwe kwanza at the ends unatibiwa copy upewi wanakabaki Sasa na form yako umetibiwa maralia ila wao Sasa wanandika umelazwa nk
NHIFHii ni Bill ya NHIF au Cash?
NHIF inadharaulika kila sehemu. Ni Bima isiyokuwa na hadhi kabisa.Mfano, Agha Khan hawapokei NHIF Kwasababu ni kibima takataka kabisa
Kwa ni wewe unapata hasara ipi hesabu isipofungwa?Habari za leo wadau kuna jambo mara nyingi nakutana nalo sijui kama wenzangu hili mmewahi kukutana nalo, kuna hizi form za matibabu NHIF unaenda hospitali unapata huduma kila gharama zinaandikwa kwenye form ukimaliza matibabu unaenda mapokezi kwa ajili ya kuchukua kadi yako ukifika pale inakupasa kusaini ile form ya gharama ulizotumia.
Ila sijawahi kuona ile form hesabu zimefungwa mara nyingi hesabu zinakuwa wazi, hii ni kwanini maana kuna uwezekano ikatokea hospital ambazo sio waaaminifu wakaongeza gharama ambazo hukutumia wewe, sasa sijui shida inakuwa wapi maana tunasaini hesabu ambayo haijakamilika kwanini hii NHIF waingalie kama ndio Sheria wabadili lazima mtu inasaini kitu halisi ulichotumia.
Kwahiyo baada ya kukupa hiyo Bill wewe umenufaika na Nini??NHIF
Nakuaminia braza, mimi mchangia hoja kama mtu mwingine sasa unaniandama ili iweje. Kumbe unajua shida ni serikari yako. Ndio maana nikakwambia kama kweli unania ya kuhoji, wizara ya afya ipo nenda kaulize upate jibu ila kutengeneza jibu lako, chief utajifunga. Halafu sijakutisha ni tahadhari, yaani unatishika mtandaoni aiseeπππ. Jibu umejipa vizuri paragraph ya mwisho. Ikipanua matibabu tuipe hongera maana hospitali zinavyoendeshwa kwa misamaha hadi zimeshuka kiwango huku mikoani. Braza braza.
Oooh mmeondoa mfumo wa zamani wa makaratasi?No inawezekana kwa hospitali zote ila kuna watoa huduma hawajui iyo process maana mfumo wanaotumia kuingizia madai ya bima ndiyo huohuo wa kutolea receipt. Nakila hospitali inaingiza madai yao wenyewe, na huo mfumo si wa hospitali bali ni wa serikari.
Hili tatizo lipo Bochi,Rabinsia, MasanaWameongeza jambo lingine mda huu unajanlzishwa form ikiwa empty Yani haijajazwa vipimo Wala dawa ukiuliza kopy yako wanakwambia ngoja utibiwe kwanza at the end unatibiwa copy upewi wanakabaki sasa na form yako umetibiwa maralia ila wao Sasa wanandika umelazwa nk
Hiki ndo chatakiwa ili mtu atunze kumbukumbuBugando wanakuprintia bili yako yoteView attachment 2536644
Siku ukiugua na huna NHIF ndo itagundua bima zingine ni shitNHIF inadharaulika kila sehemu. Ni Bima isiyokuwa na hadhi kabisa.
πππ kuna watu wewe furahi nao tu, utafanyaje sasa.
Sababu kubwa NI WABABAISHAJI SANA. Hawkosi sababu ya KUKATAA KULIPA Madai.NHIF inadharaulika kila sehemu. Ni Bima isiyokuwa na hadhi kabisa.
Umetahadharishwa unasema nimekutishaπππ, chief tufanye umeshinda sawa braza.Wapi nimekuandama ndugu? Wapi nimekwambia nimetishika? Tofautisha wewe kutaka kunitisha na mimi kutishika. Mawili hayo ni tofauti.
"Kwamba mara kadhaa umenitaarifu kuwa nitafungwa? Hiyo siyo tahadhali. Hicho ni kitisho.
Kwamba kama Nina maswali nipige simu? Huo ni mtego. Ndiyo maana natembea na ID ya kimchongo Kwa hisani ya JF.
Kama una majibu maswali zaidi nimekwambia yapo huku:
Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?
Hatupendi NHIF ifilisike kama mfuko wa umma tunaokatwa kuulipia sisi. Hatutaki mfuko huu utumike kama bomba la kutuibia sisi pesa.
Kwani serikali imewekeza Nini kwenye NHIF?
Aisee, ndio maana nikakwambia usikurupuke kujitengenezea majibuππππ. Mimi JF nimeanza kuchangia juziπππ, hao wengine hata kujua hawanijui. Boss usikurupukeKuna kinachoitwa kucheka Kwa kujitekenya. JF hata ID 100 si ruksa? Hakuna Cha ajabu.