REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Wameongeza jambo lingine mda huu unajanlzishwa form ikiwa empty Yani haijajazwa vipimo Wala dawa ukiuliza kopy yako wanakwambia ngoja utibiwe kwanza at the end unatibiwa copy upewi wanakabaki sasa na form yako umetibiwa maralia ila wao Sasa wanandika umelazwa nk