Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hizo sarakasi za kusema kuna kovidi sio kwa ajili ya kulinda wananchi, ni agenda nyingine (mikopo na kuondoa lawama kutoka kwa mataifa mengine).Serikali haipo makini kabisa na hii ni aibu kubwa..wanasema kuna covid 19 na kuna mdau kaniambia hali Bugando hosp sio njema kabisa, then ilipaswa mbio za Mwenge zisiwepo kabisa..maonyesho ya sabasaba ya nini katikati ya janga hili?? Kukosa umakini kabisa.
Mwenge ni uchawi, mwenge ni laana. Nchi hii haiendelei sababu ya lidude mwenge.
Linakula mabilioni ya fedha za wananchi bila sababu yoyote ya maana.
View attachment 1845388
Baba mchungaji kumbe unafaaa sana vip ssa Baba mchungaji unatukan MAMLAKA INAYOTAWALA JE MAAANDIKO HAYASEMI TII MAMLAKA INAYOTAWALA?Mwenge ni uchawi, mwenge ni laana. Nchi hii haiendelei sababu ya lidude mwenge.
Linakula mabilioni ya fedha za wananchi bila sababu yoyote ya maana.
View attachment 1845388
ila chakula cha usiku cha BAWACHA ni sawaWote tunafahamu Mwenge wa Uhuru ni moja ya tunu za Taifa letu. Kwa kuwepo kwa mbio za mwenge nchi nzima siyo tu ni utaratibu,lakini ni hamasa kwa jamii kujenga uzalendo.
Kwa vile tayari tuna janga la Covid-9 ni vyema tukazingatia namna pendekezwa hasa kuepuka mikusanyiko mikubwa. Ukiangalia namna mbio za mwenge wetu zilivyo na jinsi umati mkubwa wa watu unavyokusanyika kuulaki ni hatari tupu. Ni asilimia ndogo sana unawakuta wamevaa barakoa!!! Nimebahatika kuwa maeneo fulani Mkoani Mwanza na kushuhudia haya niliyoyaeleza.
Na omba viongozi husika walione hili kuwa ni janga. Kimsingi sipingi mbio za mwenge,ila tumchukue tahadhari. Kwani,ni lazima sana kila unapolala kulundika watu mikesha,na vivyo hivyo uzinduzi wa miradi yetu,siyo lazima wahudhurie watu wengi.
Kutii sio kuwa zezeta. Kutii ni pamoja na kushauri ili turudi kwenye mstari ulio nyooka ili tumpendeze Mungu na wanadamu wenzetu waje kujifunza kupitia sisiBaba mchungaji kumbe unafaaa sana vip ssa Baba mchungaji unatukan MAMLAKA INAYOTAWALA JE MAAANDIKO HAYASEMI TII MAMLAKA INAYOTAWALA?
Wazo zuri sana,
Kama iliwezekana kusitisha mwaka ule kwa sababu ile. Kwa nini isiwezekane kusitishwa mbio za mwenge mwaka huu kwa sababu hii kubwa ya Covid21?
Hivi huyo aliwaaminisha kuwa Magufuli kafa kwa corona ni nani maana katumia udhaifu wa chuki zenu kwa Magufuli ndio akaingiza hiyo imani hapo hapo, naita imani kwa kuwa hakuna sababu za msingi zenye kuelezea japo dalili tu zenye kuonesha kuwa kifo cha Magufuli kinahusika na corona.Nadhan tuombe ili likiongozi lake linyooshwe na covid 19 ndio watajua kuwa covid ipo.
Dikteta jpm aliipata flesh sasa hawa kenge their days are numbered and comming
Wote tunafahamu Mwenge wa Uhuru ni moja ya tunu za Taifa letu. Kwa kuwepo kwa mbio za mwenge nchi nzima siyo tu ni utaratibu, lakini ni hamasa kwa jamii kujenga uzalendo.
Kwa vile tayari tuna janga la Covid-19 ni vyema tukazingatia namna pendekezwa hasa kuepuka mikusanyiko mikubwa. Ukiangalia namna mbio za mwenge wetu zilivyo na jinsi umati mkubwa wa watu unavyokusanyika kuulaki ni hatari tupu. Ni asilimia ndogo sana unawakuta wamevaa barakoa! Nimebahatika kuwa maeneo fulani Mkoani Mwanza na kushuhudia haya niliyoyaeleza.
Na omba viongozi husika walione hili kuwa ni janga. Kimsingi sipingi mbio za mwenge, ila tumchukue tahadhari. Kwani, ni lazima sana kila unapolala kulundika watu mikesha, na vivyo hivyo uzinduzi wa miradi yetu, siyo lazima wahudhurie watu wengi.
Pamoja na kujua Mungu yupo,naungana na wewe kuwa tahadhari ni muhimu mfano kuondoa mikesha ya Mwenge.Hilo liko wazi kikubwa tumuombe tu mungu atuepushe huku tukiendelea kuchukua tahadhari
Kanisa la wapi?JamiiForums waweke option ya ku comment kama anonymous. Ili watu wafunguke ukweli kwasababu licha ya kutumia I'd fake bado wanaogopa.
Ila this time mchungaji na wazee wa kanisa wameshapokea msaada wa ujenzi wa sehemu msikiti, na nyumba zao lakini sharti ya msaada waumini watolewe kafara ili kuongeza sehemu ya kufanyia mhadhara hawa watoa misaada.
Hii ni hatari kwa chama chetu.Wote tunafahamu Mwenge wa Uhuru ni moja ya tunu za Taifa letu. Kwa kuwepo kwa mbio za mwenge nchi nzima siyo tu ni utaratibu, lakini ni hamasa kwa jamii kujenga uzalendo...