#COVID19 Kwanini tukimbize mbio za Mwenge kipindi hiki cha COVID-19?
Serikali ya Tanzania inatoa tahadhari kuhusu wimbi la tatu la coronavirus. Ila mitaani mamilioni ya watu na mbio za mwenge .nini kifanyike kuhusu mikusanyiko ya mbio za mwenge wa uhuru na janga la coronavirus.
Mwendazake pamoja na ujeuri wake alisitisha mbio za mwenge.
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

Hili ni kafara la Bagamoyo halina budi kufanyika iwe mvua liwake jua...lazima lifanyike..! Lisipofanyika hili matokeo yanajulikana kulingana na historia
 
Mwenge ni uchawi, mwenge ni laana. Nchi hii haiendelei sababu ya lidude mwenge.

Linakula mabilioni ya fedha za wananchi bila sababu yoyote ya maana.

View attachment 1845388
Kafara la Bagamoyo
Screenshot_20210814-085034.jpg
 
Ni wakati sasa umefika wa sisi kubadili Diet,huu Ugali unapunguza IQ na unaongeza usingizi kama ukiula na Maharage.
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

huo mwenge sioni umuhimu wake , ni vema wange uzima halafu wakauweka MAKUMBUSHO YA TAIFA

asante
 
huo mwenge sioni umuhimu wake , ni vema wange uzima halafu wakauweka MAKUMBUSHO YA TAIFA

asante
Watanzania tutaachwa nyuma na kila taifa kwenye kila kitu, tunawekeza na kutumia akili na nguvu zetu nyingi kwenye kuibakiza CCM madarakani kwa gharama yoyote ile.

1. Elimu yetu ni mbovu sana, watu wetu hawajui Kiswahili wala Kiingereza, hawajui hesabu wala sayansi wala historia kuliko mataifa mengine.
2. Huduma za afya ni mbovu sana
3. Demokrasia tunashindwa na mataifa mengi
4. Mishahara kwa watumishi tunashindwa na kila taifa jirani.
5. Kupambana na Kovid kila jirani anatushinda
6. Uwezo wa ajira, watu wetu hawaajiliki
7. Katiba, katiba yetu ni mbovu na yazamani kuliko katiba zote za majirani

Tunapinga mikusanyiko huku kuna mwenye, derby, makongamano, sabasaba, nanenane, nk
 
Watanzania tutaachwa nyuma na kila taifa kwenye kila kitu, tunawekeza na kutumia akili na nguvu zetu nyingi kwenye kuibakiza CCM madarakani kwa gharama yoyote ile.

1. Elimu yetu ni mbovu sana, watu wetu hawajui Kiswahili wala Kiingereza, hawajui hesabu wala sayansi wala historia kuliko mataifa mengine.
2. Huduma za afya ni mbovu sana
3. Demokrasia tunashindwa na mataifa mengi
4. Mishahara kwa watumishi tunashindwa na kila taifa jirani.
5. Kupambana na Kovid kila jirani anatushinda
6. Uwezo wa ajira, watu wetu hawaajiliki
7. Katiba, katiba yetu ni mbovu na yazamani kuliko katiba zote za majirani

Tunapinga mikusanyiko huku kuna mwenye, derby, makongamano, sabasaba, nanenane, nk
ndo mana mm swala la uchungu na nchi yang nshaliacha ,This shit going on in our country doesn't even make sense ...

lengo la kutokuwa na uchungu ni baada ya kugundua naweza nkafa na heart attack just imagine

kesi ya sabaya -waliokosea jina kitoto kbsa
kesi ya mbowe - haeleweki
Tozo
hakuna ajira
covid 19 measures mbovu
mwenge wa tangu uhuru unazurura mtaani
elimu mbovu
katiba
spika wa bunge asiyejitambua
gwaji girl vs gwaji boy


niishie apo tu , ngoja niendelee kutafuta ugali wa watoto
 
Juzi nilikutana na mbio za Mwenge pale Mkata, watu wamekusanyika balaa na msafara umezuia magari yasiende.

Jamani mbona hatuko serious na afya za watu wenyewe? Dunia itatuelewaje sisi jamani?

Kwani kwenye Mwenge kuna nini kiasi hiki?

Kuna siasa kubwa inaendelea "hapa ndipo mama alipo wapigia mwingi wazungu"
 
Nimeshangaa kusikia matangazo redioni yakihimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha la mwenge na mkesha Dar es Salaam. In particular nimemsikia DC wa Kigamboni akihamasisha na kusai kutakuwa na wanamuziki kibao kuhanikiza shughuli hiyo ya mwenge. Nimeshindwa kishangaa! Nini tubafanya watanzania?
 
Nimeshangaa kusikia matangazo redioni yakihimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha la mwenge na mkesha Dar es Salaam. In particular nimemsikia DC wa Kigamboni akihamasisha na kusai kutakuwa na wanamuziki kibao kuhanikiza shughuli hiyo ya mwenge. Nimeshindwa kishangaa! Nini tubafanya watanzania?
Siku itafika tutakuwa na taifa lisiloaminika kwa kila kitu chetu tunachosema na tunachofanya.
 
Serikali ya Tanzania inatoa tahadhari kuhusu wimbi la tatu la coronavirus. Ila mitaani mamilioni ya watu na mbio za mwenge .nini kifanyike kuhusu mikusanyiko ya mbio za mwenge wa uhuru na janga la coronavirus.
Viongozi wetu hawaoni aibu wanapokutana na viongozi wenzao walio serious na mapambano ya covid-19? Kuna mtu mmoja aliwahi kusema viongozi wa Afrika wanaoshinda chaguzi kwa kuiba kura hawaoni aibu wanapokutana na Marais walioshinda urais wao kwa njia za kidemokrasia?. Marais wa Ulaya na Marekani hawaamini kama Afrika kuna viongozi na serikali wanaamini kuwa Afrika kuna "regimes" badala ya "governments"
 
Kwani hujui kama mwenge ni wa siisiiemuuuu , sasa jichanganye wewe na kibango chako sijui katiba gani sijui mpya uone cha mtemakuni, utapea kesi zote hadi ya kumuua mungu wa chettle , achilia mbali kuwa unaeneza kotrona hata kama uko pekeyako , hii ndio nchi bana akili wanazo wao tu, kila siku wanahubiri social distance na kuacha mikusanyiko lakini wao looooo hayawahusu hizo ni kwa wapiinzaniiii tu
 
Back
Top Bottom