Kwanini Tundu Lissu anapewa airtime kubwa sana ITV kuliko Rais wa nchi? Serikali iwachunguze!

Dunia inaenda ku design tukio lile kama Ugaidi

Kama mnavyojua Ndugu zangu Dunia ikikutaja wewe ni Gaidi Jiandae kabisa utubu zambi zako mapema.
Wanakuzoa sehemu yoyote ulipo
Kwa hiyo kiufupi bimkora ni acomplise wa ugaidi kwa kufanya state sponsored terrorists kama iran
 
Kopo hilo achana nalo, utapoteza muda.
 
Hii kitu ili ibadilike lazima mfumo wa elimu uanze ku inforce hayo mambo pamoja na critical thinking. Ila yes ni tatizo kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…