ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Kwa hiyo kiufupi bimkora ni acomplise wa ugaidi kwa kufanya state sponsored terrorists kama iranDunia inaenda ku design tukio lile kama Ugaidi
Kama mnavyojua Ndugu zangu Dunia ikikutaja wewe ni Gaidi Jiandae kabisa utubu zambi zako mapema.
Wanakuzoa sehemu yoyote ulipo
Mjinga ni sifa nzuri sema ni mpumbavu mkuuWewe ni mjinga.
Kopo hilo achana nalo, utapoteza muda.Pole. Lissu hajazuia kazi njema za Mh Rais. Tunaziona wote. Lissu hakuenda kutalii ulaya, ila alienda ubelgiji akiwa kitandni kwa risasi zako ulizoshiriki kumpiga. Sio lazima Lisu aje kuwa Rais wa nchi hii ila haki yake ya kuishi ni sawa na yako wewe muuaji unavyotaka kuishi. Wakati Lissu anawatetea wachimbaji Madini wa Bulyankulu Kahama na Nyamongo Tarime miaka 1995 mpaka 2010, kiasi cha kuwekwa ndani wewe ulikuwa unaimba mapambio, anazuia uwekezaji mkiwatetea wazungu. Leteni hayo mazungumzo ya Lisu na mabeberu. Leo unawaita mabeberu, kesho unawaita wafadhili, shame on you. Kama wewe unavyopewa nafasi hapa jf kuropoka na kutishia maisha mpaka vyombo vya habari, mwache Lisu au yeyote ajieleze na kutoa maoni yake.
Hii kitu ili ibadilike lazima mfumo wa elimu uanze ku inforce hayo mambo pamoja na critical thinking. Ila yes ni tatizo kubwaThere we go again.
Hii ni serious social thinking issue Tanzania.
Ya watu kudhani wengine wanamajukumu na responsibility ya achievements.
Ili ni moja ya tatizo kubwa sana amongst many others in social thinking.
Lazima apatikane mtu wa kunyoosha akili watanzania. Social thinking ya watanzia is serious problem to development.
Anaongea pumba za mchele huyu jamaa!SAWA LAKINI UMEOMBA KABLA YA KUANZA SIKU YAKO HII YA LEO ILI YESU AKULINDE
Thanks BrotherKopo hilo achana nalo, utapoteza muda.