Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Mungu hadhihakiwi.Wapiga magoti na waosha masufuria wamekosa kibali cha wananchi,wanachofanya sasa hivi ni kulaghai wananchi kwa kuosha masufuriaView attachment 1586015View attachment 1586016
Jitu katili limeamua kupiga goti leo,kawa mpoleMeko kupiga magoti vipi..!!
Na Yule anayewadhalilisha wanawake ndo mwenye pasi kali?!!Yaani Leo katoa Pasi ya ovyo kabisa katika harakati zake za kujijenga kimaslahi. Sijui kama mnaona ninachokiona kwa Lissu. Au ndiyo mmeamua kuvaa miwani ya 'mabao'? Ebu vueni miwani hiyo!
Belezee babaKwa sababu wewe ni kilaza huwezi kumuelewa Lissu!!! Umekaririshwa juu ya ukoloni kwa iyo ukisikia ukoloni unawaza ulivyokaririshwa!!
Lissu anaongelea kuweka mamlaka ya matumizi ya pesa na mgawanyo wake kwa wananchi kwamba, wananchi wasiwe ombaomba kwa kiongozi mkuu ila wao ndo waweke vipaumbele kwa miradi wanayotaka iwe miradi ya maji, elimu au miundombinu.
Hivi ndo ilivyokuwa kipindi cha mkoloni Ndo mana vyama vya ushirika vya wananchi enzi za mkoloni vilijenga shule na miradi mbalimbali kwa sababu sio gavana aliyekuwa anawaamulia matumizi ya pesa zao.
Baada ya Uhuru Nyerere alibadilisha sheria ya fedha kuweka hela zote chini ya Raisi, Ndo mana leo miradi yote hela lazima ziishinishwe na Raisi.
Ndo mana hadi leo watanzania wamekuwa ombaomba kwa serikali na Raisi , kila sehemu wanalia, Raisi tujengee shule, tuletee Maji, sijui tujengee barabara. Shida ni mfumo uliowekwa baada ya Uhuru kuweka fedha zote za nchi chini ya mtu mmoja.
Jitahidi Sana kuwa mkweli ! MUNGU anampenda mtu mkweli . Tusipende kuupotosha Umma !!!Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?
Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Ni kodi zetu WOTETutampopoaView attachment 1586103
Umetazama ITV leo usiku? Uongo kwangu mwiko.Jitahidi Sana kuwa mkweli ! MUNGU anampenda mtu mkweli . Tusipende kuupotosha Umma !!!
Haki, Uhuru na Maendeleo ya Watu...somo la Uraia ni muhimu maana Magufuli na Tume wamekuwa wakikanyaga Katiba na Sheria waziwaziNijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Nimekuwekea ushahidi post namba 79 ya uzi huu. Ukweli daima, uongo mwiko!Mtaokoteza kila kitu mwaka huu.
Ukoloni kauleta mtu wenu katika hii miaka mitano.
Kwa akili hizi mnatia kinyaa sana!Unaweza kukuta na wewe una familia!Tumieni akili basi,mnaishusha sana hadhi JF!Uko tayari kubeba wazungu begani na Lissu wake kama enzi za ukoloni ?
Mkubali kalikoroga...!!! 'Much know' itapunguza sana kura zake!Ukiwa na ubongo wa sisimizi huwezi kumuelewa Lissu.
Ni mbinu nzuri sana ya kuwaelimisha wananchi kabla ya kumwaga sera na wengi tumefunguliwa macho tupo tayari kumpa kura zetu sasa.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Sheria na katiba ndio msingi wa uongozi ktk nchi.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!