Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Naisi ubongo wake haufanyi kazi kabisaUkiwa na ubongo wa sisimizi huwezi kumuelewa Lissu.
Nakushauri kwakuwa wewe binafsi umeshindwa kuelewa alichokisema Lissu kwasababu hukujaliwa ubongo wa kutosha, ingekuwa vema uwaulize watu wenye uelewa wakueleweshe. Usilazimishe kuelewa jambo usilokuwa na uwezo nalo.
Nabaeleza vizuri sana papaa 😂Belezee baba
Huyu jamaa elimu aliyotoa kwenye kampeni zake ni elimu ambayo inahitaji kusome semister 4 chuoNijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Kwisha habari yenu...!Kama kwa akili hizi ndo umetafasiri kilichosemwa na Lissu bora umgewaachia watoto waangalie tamthilia.
Sisi tumemuelewaLeo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?
Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Nipigwe ndo ya mkeka kwa kukuoa ww!!Hahahaaaa...... Utapigwa ndoa ya mkeka manka!
Sasa unatka sera gan mzee, wakat maswal y kurekebsha katiba n kuleta katiba mpya kwa watanzania ipo ndan ya ilani yake n ndo kitu ch kwnza katik sera zake, kwa kifupi lissu hajawahi kuongea mambo out of his ilani sio kma yule mgombea wenuNijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Tumieni akili,humu JF mnaandika watanzania mbalimbali wasome!Hapa sio jukwaa la CCM na Chadema tu!Tunawajua kwa lugha zenu. Siwezi kushangaa maandishi yenu haya. Mmekunywa na kujifunza tabia mbaya za Lissu za kudharau watanzania. Na dhambi hiyo haiwezi kuwaacha salama kwenye sanduku la kura ifikapo tarehe 28/10/2020. Mtashughulikiwa vilivyo na watanzania.
Yohana Mbatizaji kongole kwa uwasilishaji wa maoni yako yaliyoshiba kwa ustadi mkubwa. Ni wanaJF wachache wanaweza kukuelewa. Wewe ni kati wa wanaukoo wa JF ninaowaheshimu sana. Kwa wale ambao hawakukuelewa ni kwamba Yohana anampongeza TAL kwa kutoa elimu ya uraia (ambayo imefutwa mashuleni) kwa WaTz kupitia mikutano ya kampeni, fursa adimu . Ukiwasikiliza baadhi wa waTz utasikia sasa wanasema, ooh hatukujua kuwa hiki na hiki kiko hivi!! TAL ameatufungua macho. Wachache walijua kuwa Magufuli amejenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake kwa ajili yake na familia yake bila kufuata sheria na kanuni za nchi kuhusu miradi kama hiyo. Endelea na kazi nzuri Yohana.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Kama wewe huhitaji hayo anayoongea usimsikilize. Au ulitaka aseme akiwa rais atazuia Maendeleo kwa wanaccm? Ukitaka kusikia hayo we nenda kampen za ccm.Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Sidhani...! Maana sioni kama tayari umeisha vua 'miwani ya mbao'. Ha ha ha haaaa! Tuendelee na mjadala mtani.Sisi tumemuelewa
Tukuulize mbona Jiwe muda mwingi ni kuongelea ngono tuu? Au ndizo sera za Ccm?Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.
Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.
Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.
Maendeleo hayana vyama!