Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anatumia muda mwingi kutafsiri Katiba na Sheria badala ya kutangaza sera?

Ukiwa na ubongo wa sisimizi huwezi kumuelewa Lissu.

Nakushauri kwakuwa wewe binafsi umeshindwa kuelewa alichokisema Lissu kwasababu hukujaliwa ubongo wa kutosha, ingekuwa vema uwaulize watu wenye uelewa wakueleweshe. Usilazimishe kuelewa jambo usilokuwa na uwezo nalo.
Naisi ubongo wake haufanyi kazi kabisa
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu jamaa elimu aliyotoa kwenye kampeni zake ni elimu ambayo inahitaji kusome semister 4 chuo
 
Leo akiwa Mkoa wa Kilimanjaro, Lissu kaahidi kuhakikisha anairejesha Tanzania enzi za ukoloni. Nimemsikia na kumona akiongea hayo mwenyewe kupitia televisheni ya ITV, muda mchache uliopita. Hivi maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko yale baada ya uhuru?

Yaani Lissu kwa uongo hajambo, anaongeza kuwa Wakati wa ukoloni mamlaka yalikuwa kwa wananchi! Mambo ya ajabu sana haya...! Na mwenyekiti wake wa Chama anaogopa 'kumfunga' Lissu kengele.
Sisi tumemuelewa
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa unatka sera gan mzee, wakat maswal y kurekebsha katiba n kuleta katiba mpya kwa watanzania ipo ndan ya ilani yake n ndo kitu ch kwnza katik sera zake, kwa kifupi lissu hajawahi kuongea mambo out of his ilani sio kma yule mgombea wenu
 
Tunawajua kwa lugha zenu. Siwezi kushangaa maandishi yenu haya. Mmekunywa na kujifunza tabia mbaya za Lissu za kudharau watanzania. Na dhambi hiyo haiwezi kuwaacha salama kwenye sanduku la kura ifikapo tarehe 28/10/2020. Mtashughulikiwa vilivyo na watanzania.
Tumieni akili,humu JF mnaandika watanzania mbalimbali wasome!Hapa sio jukwaa la CCM na Chadema tu!
Kujivua utimamu wako na kuandika upuuzi unakuwa hauwatendei haki wana JF!
 
Lissu yatamkuta yanayomkutaga Prof Lipumba kila uchaguzi. Hua ana spend muda mrefu wa kampeni kuelezea theory za uchumi kuliko kutangaza atawafanyia nini wananchi same to Lissu ana spend muda murefu kuchambua katiba na sheria kuliko kuwambia atawafanyia nini wananchi, comes 28th wananchi wamekariri tu vifungu vya sheria hawakumbuki uliwaahidi nini kwenye kampeni wanakupiga spana unaanza kutisha kuingiza watu barabarani watembee hadi The Hague.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Yohana Mbatizaji kongole kwa uwasilishaji wa maoni yako yaliyoshiba kwa ustadi mkubwa. Ni wanaJF wachache wanaweza kukuelewa. Wewe ni kati wa wanaukoo wa JF ninaowaheshimu sana. Kwa wale ambao hawakukuelewa ni kwamba Yohana anampongeza TAL kwa kutoa elimu ya uraia (ambayo imefutwa mashuleni) kwa WaTz kupitia mikutano ya kampeni, fursa adimu . Ukiwasikiliza baadhi wa waTz utasikia sasa wanasema, ooh hatukujua kuwa hiki na hiki kiko hivi!! TAL ameatufungua macho. Wachache walijua kuwa Magufuli amejenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake kwa ajili yake na familia yake bila kufuata sheria na kanuni za nchi kuhusu miradi kama hiyo. Endelea na kazi nzuri Yohana.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!





Anafikiri yupo mahakamani
 
Somo la kuhusu maadili ya uchaguzi ninyi pamoja na NEC naona litakuwa limewaingia vizuri, next time msikurupuke sawa!!
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Kama wewe huhitaji hayo anayoongea usimsikilize. Au ulitaka aseme akiwa rais atazuia Maendeleo kwa wanaccm? Ukitaka kusikia hayo we nenda kampen za ccm.
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
Tukuulize mbona Jiwe muda mwingi ni kuongelea ngono tuu? Au ndizo sera za Ccm?
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nijuavyo mikutano ya kampeni ni kwa ajili ya kutangaza sera na ilani za vyama lakini nashangazwa na Tundu Lissu ambaye hutumia muda mwingi kutafsiri sheria na katiba ya nchi.

Mfano katika mkutano wa leo ametumia muda mwingi kuelezea utaratibu wa kumshtaki mtu na jinsi ya kumuita shaurini.
Akatolea mfano wa yeye kuitwa na NEC kienyeji.

Tundu Lissu elewa kwamba watanzania hawahitaji darasa la sheria bali uwaeleze utawafanyia nini wakikuchagua.

Maendeleo hayana vyama!

Lissu is very smart & strategic! Hilo darasa ni muhimu sana ili sisi wapiga kura tuelewe kwa usahihi ni nini kinaendelea na hao Tume & ccm yao wakileta figisu figisu za kipuuzi tuweze kufanya maamuzi sahihi tukijua bayana mchele ni upi na pumba ni zipi
 
Back
Top Bottom