Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
1. Anaijua sheria ataongoza taifa kwa misingi ya haki
2. Hana tamaa ya mali, hatokimbilia kujenga mahekalu kwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa kijijini kwao Mahambe, hawezi, hawezi hubadili msitu wa Mahambe kua hifadhi ya wanyama.
3. Ni muelewa mzuri wa masuala ya kimataifa, atasaidia kuimarisha diplomasia ya kimataifa
4. Hatorusu kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa sababu ni mjuzi wa sheria
5. Hana rekodi ya ufisadi wala tuhuma zozote rushwa. Ni mwadilifu
6. Haturuhusu DPP kuchelewesha kesi mahakamani kusababisha mrundikano wa wafungwa
7. Hatoruhusu ubambikiaji wa kesi na uonevu unaofanywa na baadhi ya polisi
2. Hana tamaa ya mali, hatokimbilia kujenga mahekalu kwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa kijijini kwao Mahambe, hawezi, hawezi hubadili msitu wa Mahambe kua hifadhi ya wanyama.
3. Ni muelewa mzuri wa masuala ya kimataifa, atasaidia kuimarisha diplomasia ya kimataifa
4. Hatorusu kuingia mikataba ya kinyonyaji kwa sababu ni mjuzi wa sheria
5. Hana rekodi ya ufisadi wala tuhuma zozote rushwa. Ni mwadilifu
6. Haturuhusu DPP kuchelewesha kesi mahakamani kusababisha mrundikano wa wafungwa
7. Hatoruhusu ubambikiaji wa kesi na uonevu unaofanywa na baadhi ya polisi