Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Mtatatizo makubwa mara ngapi mbona tuna mtatizo makubwa tayari? Ccm must go!
Wewe jidanganye na mawenge yako. Lissu huyu huyu aliye na jeuri na kufuru ya kumdharau hata Mungu? JPM aliweka wazi kuhusu corona pamoja na hatua zote nyingine tulizo chukua lakini alituhimiza kama taifa la watu wenye hofu ya Mungu, tumuombe na kumtegenea Mungu. Tukaona muujiza corona ilovyofifia hapa Tanzaniia.
Lissu alipokuja kutoka ughaibuni akanza kuiaminisha dunia corona Tanzania iko kwa wingi ba watu wanakufa sana ila hakuna uhuru wa vyombo vya habari hivyo ukweli unafichwa.
Kwa maana nyingine alikuwa anasema hakuna Mungu huyo watanzania walio waaminisha dunia kuwa kawapigania katika corona. Hii ni kufuru inayo weza kufanywa na shetani na huyu wakala wake. Akasema mambo ya kura katika uchaguzi hatamuachia Mungu ataitisha mandamano ya wanadamu. Mkristo ambaye hajui kuwa amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu.
Lakini angalia Mungu alivyomuumbua na kumfanya ajikwae katika kuchanganyikiwa, akiwa anautangazia ulimwengu upotoshaji wake kuhusu suala la corona Tanzania akawa hachukui tahadhari ya barakoa na hata wale anawahutubia mabarabarani wamekusanyika bila ya hofu ya corona na wala kuvaa barakoa.