Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anaweza kuwa kiongozi mzuri wa Taifa?

Uchaguzi 2020 Kwanini Tundu Lissu anaweza kuwa kiongozi mzuri wa Taifa?

Kusema kweli tunajisumbua tu.. Tundu Lissu hawezi kuwa Rais sio kwasababu kura hazitatoshaa bali ni kwasababu ya corwadice ya Watanzania.
Mkuu usiwe na moyo mgumu kuamini. Ni kweli CCM ni wezi sana, lakini Mara zote huwa inategemea huyo aliye mbele yukoje? Kama ni muoga basi wote nyuma yake wanakuwa waoga mfano mdebwedo kama Lowassa unategemea ingekuwaje?

Leo yupo Lissu, ambaye tunamuona hata akiwa jukwaani sio muoga na ujasiri wake hakuna mfanowe Tanzania nzima tokea 2015 awamu hii katili iingie madarakani.

Pia Lissu kesha sema habari ya kumuachia Mungu hilo wasahau maana wakiiba kitawaka. Na kwa dunia ya sasa watu wakiandamana hata kama ni wahuni kudai haki ya kura zao na mkaua hata mmoja hao "mabeberu" wanapata sababu ya kunyea debe wahusika, jee wanataka hilo?
 
Kama anataka kusimamia haki si akagombee ujaji basi
 
Atachaguliwa tena kwa kura nyingi kuliko watu wanavofikiria kama kuna mwaka ambao CCM itasambaratika ni baada ya matokeao ya uchaguzi kutangazwa Mungu anataka kuliinua hili taifa ambalo limebarikiwa kuwa na utajiri mwingi, lakini watu wake ni masikini wa kutupwa.
Sawa mkuu, tupo na tutaona..
 
Mkuu usiwe na moyo mgumu kuamini. Ni kweli CCM ni wezi sana, lakini Mara zote huwa inategemea huyo aliye mbele yukoje? Kama ni muoga basi wote nyuma yake wanakuwa waoga mfano mdebwedo kama Lowassa unategemea ingekuwaje?
Leo yupo Lissu, ambaye tunamuona hata akiwa jukwaani sio muoga na ujasiri wake hakuna mfanowe Tanzania nzima tokea 2015 awamu hii katili iingie madarakani.
Pia Lissu kesha sema habari ya kumuachia Mungu hilo wasahau maana wakiiba kitawaka. Na kwa dunia ya sasa watu wakiandamana hata kama ni wahuni kudai haki ya kura zao na mkaua hata mmoja hao "mabeberu" wanapata sababu ya kunyea debe wahusika, jee wanataka hilo?
Mkuu Watanzania wepi wataandamana?? Wale waliokuwa wanakesha na mange kwenye mitandao alafu mwisho wa siku tarehe ikifika ya kuingia barabarani wanajibanza vyumbani na simu zao!!

Mkuu kama mnategemea sie Watanzania kuingia barabarani ni bora mje na strategy nyingine tu. Kama kikundi cha wahuni kinadhubutu kuingilia msafara wa Lissu na kuleta taharuki alafu mnashindwa kukamata hata watano muwavunje miguu ndio tutaweza pambana na FFU na JWTZ ikibidi??
 
Acha ujinga na Akili mgando nawewe unajikuta heti huishi kwa Amani.
Kwa maisha gani uliyonayo Kobe wewe.. yani wewe hata ukienda kulala polini ukiondoa kudhuliwa na wanyama wakali utabaki salama kabisa.

Mtu hujawahi hata kusikia mlio wa bunduki tangu uwepo hapa Tanzania ndo unakuwa wa kwanza kuleta unafiki wako hapa.

Siasa Ni Mbaya Sana .
Wewe ni wasiojulikana ?!. Hebu ngoja nimwambie Zakaria kuwa ni wewe.
 
Tatizo watanzania ni waoga sana, mtachezewa sana na watawala, ondoeni woga mtaheshiwa na watawala wenu maana hamjawahi kuwa na viongozi
 
Mkuu Watanzania wepi wataandamana?? Wale waliokuwa wanakesha na mange kwenye mitandao alafu mwisho wa siku tarehe ikifika ya kuingia barabarani wanajibanza vyumbani na simu zao!!

Mkuu kama mnategemea sie Watanzania kuingia barabarani ni bora mje na strategy nyingine tu. Kama kikundi cha wahuni kinadhubutu kuingilia msafara wa Lissu na kuleta taharuki alafu mnashindwa kukamata hata watano muwavunje miguu ndio tutaweza pambana na FFU na JWTZ ikibidi??
Mkuu hii ni level nyingine ya uhalisia sio ile ya mange ya kusadikika.
Siku Lissu anaingia nchini Jana yake tamko LA Polisi lingesababisha kila MTU kuingia mvunguni but what happened?

Issue ya Bomang'ombe kwa Sabaya ilikuwa mtego wa kuharibu zoezi zima la Lissu kutafuta wadhamini. Damu ingemwagika pale nyumbani kwa Mbowe picha ingesoma vibaya lakini Chadema waligundua hill na wakaruka kihunzi hicho.
 
Hawezi kuwa Rais, mpaka aamue kubadili kinywa chake na maneno anayotamka.
 
Tanzania hatupo tayari kuongozwa na mtu anaeji brand kuwa yeye Ni mkenya kwasabab ana damu nyingi ya Kenya. Mwisho wa siku akiingia ikulu ashirikiane na wakenya wenzake kuiuza Tanzania kwa Mabosi wake wa Ubelgiji.
Kajibrand lini kuwa yeye ni mkenya au ndiyo mnasimuliana haya mashudu
 
Soma vizuri nilichondika , amani ya moyo. Lissu akiwa rais tutaishi bila hofu ya kutekwa.
Mlio wa bunduki niliushuhudia kinondoni alipouawa Akwilina (RIP).
Pinga kwa hoja kama anavyofanya Lissu sio kwa povu.
Yani jinsi unavyounga unga tu hoja inaonesha wazi kabisa kuwa wewe Ni mnfiki Wala huna la maana.
 
Soma vizuri nilichondika , amani ya moyo. Lissu akiwa rais tutaishi bila hofu ya kutekwa.
Mlio wa bunduki niliushuhudia kinondoni alipouawa Akwilina (RIP).
Pinga kwa hoja kama anavyofanya Lissu sio kwa povu.
Huko CCM nani anajua kujenga hoja,wao wakizidiwa hoja jibu ni AK-47
 
Anazo sifa ila hatokuwa Rais siku zote za uhai wake
 
Mr Tyang una maana kuwa Tz hatujawahi kuongozwa na mtu asiye Mtanzania? Hiyo ya kuwekewa damu ya mtu haibadili wewe kuwa mtu yule.Acha kubabaisha wajinga!
Ndio hatujawahi tangu Taifa hili liwe huru.

Tatizo siyo kuwekewa damu Tatizo Ni huyo yeye kuongea mbele za vyombo vya habari kuwa; "Mimi Ni mkenya mwenzenu kwasabab Nina damu nyingi ya wakenya" TL.

Je huyu ndo rais anaetufaa kuongoza nchi ya kizalendo Kama Tanzania?
 
Hajajibrand kuwa ni Mkenya amesema ana damu ya wakenya sababu aliwekewa damu nyingi akiwa anatibiwa sasa kusema hivo ndo imekuwa shida, maneno mengine yaani hata hofu ya Mungu hatuna.
Kamusikilize vizuri Tena ili uje uache kupindisha alichokisema ndugu yako..

"Mimi Ni mkenya mwenzenu kwasababu Nina damu nyingi ya wakenya" TL.
 
Back
Top Bottom