Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
wewe unajikuta heti huishi kwa Amani.8. Atatokomeza wasiojulikana tutaishi kwa amani ya moyo.
Soma vizuri nilichondika , amani ya moyo. Lissu akiwa rais tutaishi bila hofu ya kutekwa.na wewe unajikuta heti huishi kwa Amani.
Kwa maisha gani uliyonayo yani wewe hata ukienda kulala polini ukiondoa kudhuliwa na wanyama wakali utabaki salama kabisa.
Mtu hujawahi hata kusikia mlio wa bunduki tangu uwepo hapa Tanzania ndo unakuwa wa kwanza kuleta unafiki wako hapa.
Siasa Ni Mbaya Sana .
Kusema kweli tunajisumbua tu.. Tundu Lissu hawezi kuwa Rais sio kwasababu kura hazitatoshaa bali ni kwasababu ya corwadice ya Watanzania..
Tanzania hatupo tayari kuongozwa na mtu anaeji brand kuwa yeye Ni mkenya kwasabab ana damu nyingi ya Kenya.
Mwisho wa siku akiingia ikulu ashirikiane na wakenya wenzake kuiuza Tanzania kwa Mabosi wake wa Ubelgiji.
1. Anaijua sheria ataongoza taifa kwa misingi ya haki
Atumie mawakili wa ndani muwafutie uwakili kama Fatma Karume??? Mpige mabomu ofisi zao kama mlivyofanya kwa kampuni ya Imma advocates???!Kwanini.. ana kesi.. mingi mahakamani!!
Kwanini.. hatumii wa nchini.. kumuwakilisha.. anatumia wazungu wa ofisi za nje ta nchi.!!!.. kwanini mgomvi sana.. na mvunja sheria makusudi!!!.. na kuhimiza fujo nchini!!!