KIKI CORAL
Senior Member
- May 10, 2023
- 183
- 313
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.
Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.
Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k
Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.
Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.
Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.
U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)
lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.
Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?
Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?
Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?
kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.
Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.
Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024
IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO
Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.
Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k
Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.
Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.
Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.
U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)
lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.
Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?
Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?
Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?
kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.
Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.
Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024
IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO