Kwanini U-FM Jana walikata matangazo DW Wakati John Pambalu alipokuwa akizungumza?

Kwanini U-FM Jana walikata matangazo DW Wakati John Pambalu alipokuwa akizungumza?

Hapana, kilichotokea ni kipazasauti na ukaaji wa Pambalu haukuwa sambamba, Pambalu alipokaa sawasawa sambamba na kipaza sauti aliendelea kuongea alipoachia na kuhitimisha akiwa ametumia muda mwingi kuliko wenzake.
No, kuna muda simu ilikatika ya Pambalu ila U-FM walikuwa wameshamuondoa hewani muda mrefu. mimi nilikuwa nasikiliza ufm na tumain radio 96.5 zote kwa pamoja. ukitaka kujua kasikilize hiyo link niliyoweka kutoka DW. pambalu alipewa nafasi tatu kuongea na zote ufm walikata.
 
Redio zinabanwa na miongozo ya sheria, jana Pambalu alipoanza kuporomosha matusi ya nguoni, akitukana kila mtu kwa matusi mazifo, lazima matangazo yangekatwa. Hawa vijana wamefanya chama kimekuwa cha kihuni huni
Tusi gani alitukana?
 
No, kuna muda simu ilikatika ya Pambalu ila U-FM walikuwa wameshamuondoa hewani muda mrefu. mimi nilikuwa nasikiliza ufm na tumain radio 96.5 zote kwa pamoja. ukitaka kujua kasikilize hiyo link niliyoweka kutoka DW. pambalu alipewa nafasi tatu kuongea na zote ufm walikata.
Hatari sn
 
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.

Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.

Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k

Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.

Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.

Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.

U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)

lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.

Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?

Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?

Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?

kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.

Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.

Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024

IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO
Ujinga wa aina hiyo ulikua unafanywa na RFA miaka ya nyuma.Walikipata walichokitaka.Na hao UFM waendelee hivyohivyo watavuna zawadi yao.
 
Redio zinabanwa na miongozo ya sheria, jana Pambalu alipoanza kuporomosha matusi ya nguoni, akitukana kila mtu kwa matusi mazifo, lazima matangazo yangekatwa. Hawa vijana wamefanya chama kimekuwa cha kihuni huni
Tuwe hapa hayo matusi tuyaone. Mi nilisikiliza hicho kipindi mwanzo mpaka mwisho.
 
No, kuna muda simu ilikatika ya Pambalu ila U-FM walikuwa wameshamuondoa hewani muda mrefu. mimi nilikuwa nasikiliza ufm na tumain radio 96.5 zote kwa pamoja. ukitaka kujua kasikilize hiyo link niliyoweka kutoka DW. pambalu alipewa nafasi tatu kuongea na zote ufm walikata.
Ninaposema alipoachia ni pale alipotakiwa akae sambamba na kipaza sauti ndipo walipomuondoa na kuendelea alipoachia, nakushauri thibitisha hilo kutoka kwa Pambalu.
 
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.

Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.

Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k

Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.

Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.

Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.

U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)

lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.

Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?

Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?

Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?

kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.

Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.

Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024

IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAK

Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.

Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.

Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k

Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.

Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.

Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.

U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)

lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.

Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?

Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?

Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?

kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.

Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.

Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024

IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO
Pole sana mkuu lakini hicho kitendo mbona ni kawaida kwa UFm sio mara moja au mbili.Huwa ikifika habari za Tz wakiwa wapo kikaangoni wao wanakata matangazo na sisi wasikilizaji tumeshazoea na pia tunawaelewa Kuwa wao ni chombo cha watawala sio wananchi.Mwisho hata tukisema hakuna mahali tutaenda kuwashtaki maana chombo ni cha kwao so ukiona hivyo badilisha frequency nenda radio station nyingine ili upate matangazo.
 
Pole sana mkuu lakini hicho kitendo mbona ni kawaida kwa UFm sio mara moja au mbili.Huwa ikifika habari za Tz wakiwa wapo kikaangoni wao wanakata matangazo na sisi wasikilizaji tumeshazoea na pia tunawaelewa Kuwa wao ni chombo cha watawala sio wananchi.Mwisho hata tukisema hakuna mahali tutaenda kuwashtaki maana chombo ni cha kwao so ukiona hivyo badilisha frequency nenda radio station nyingine ili upate matangazo.
sawa mkuu
 
Ninaposema alipoachia ni pale alipotakiwa akae sambamba na kipaza sauti ndipo walipomuondoa na kuendelea alipoachia, nakushauri thibitisha hilo kutoka kwa Pambalu.
Mkuu mara ya kwanza ilikatika na wakati inakatika pia U-FM walikuwa wameshamtoa hewani, walimtoa hewani pale tu alipoanza kusema Mbowe alipewa kesi ya ugaidi. U-FM walimkata ila Tumain radio waliendelea nae.

Aliporudi hewani alimkuta Nondo anaongea na U-FM walimwacha nondo anaongea, Mtangazaji akasema naambiwa Pambalu amerudi tena akaanza kuongea U-FM wakamkatia tena wakaweka Jingo ya U-FM tumekufikia.

Tumain radio wakaendelea, alipomaliza kuongea wakarudi kwa wasira U-FM wakarudisha matangazo tena, Baaada ya wasira pambalu akaomba kufanya fact check kwa alichozungumza Wasira U-FM wakamkata tena hewan wakaweka Jingo zao ila Tumain Radio ikaendelea.

Mimi nilikuwa natumia Radio mbili kusikiliza baada ya kuambiwa na wadau kuwa U-FM wanakata matangazo wakiongea wapinzani, nikataka kupata Udhibitisho na kwlei ikawa Hivyo.
 
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.

Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.

Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k

Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.

Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.

Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.

U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)

lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.

Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?

Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?

Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?

kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.

Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.

Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024

IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO
Fitna za msimu unaoonyesha uhovyo wetu na watu wake kupitia vyombo na watu kwa manufaa ya watu fulani fulani wenye kujipa ubora wasio nao.
 
Kwa U Fm sio mara ya kwanza. Sikuzote akianza kuongea mtu wa CHADEMA kupitia DW hawa U fm huwa wanakata matangazo.
 
Kwa U Fm sio mara ya kwanza. Sikuzote akianza kuongea mtu wa CHADEMA kupitia DW hawa U fm huwa wanakata matangazo.
safari bado ni ndefu sana kama media zitakuwa zinaegemea upande mmoja tena wa watawala dhalimu
 
Jana Mchana DW SWAHILI katika Kipindi cha meza ya Duara waliwaalika wanasiasa watatu nchini Tanznaia akiwemo John Pambalu Mwenyekiti wa BAVICHA, Steven Wasira Kada wa CCM, na Abdul Nondo Mwenyekiti ngome ya vijana ACT.

Walikuwa wana mjadala kuhusu 4RS za Rais samia kama zinaishi ama zimejifia.

Wasira alianza kwa kufafanua vizuri sana maana ya hizo 4rs na kwanini na zinalenga nini n.k

Baadae John Pambalu akapewa nafasi naye ili atoe maoni yake U-FM wakakata matangazo wakaweka jingo zao za UFM tumekufikia, nikahamisha nikasikilzia Radio Tumaini ila usikivu haukuwa mzuri sana.

Alipoanza kuongea NONDO ufm wakarudisha matangazo tena, mtangazaji akamrudishia tena Pambalu afafanue hoja fulani hivi U-FM wakakata tena.

Baadae akapewa Wasira U-FM wakarudisha tena matangazo kama kawaida, Mwishoni John Pambalu akarudi ile afanye fact check kwa kile alichokuwa akizungumza wasira U-FM Wakakata tena matangazo yao.

U-FM ni kituo chenye watangazaji Nguli wenye uzoefu mkubwa sana kwenye tasnia ya habari na kinasimamiwa na nguli Baruani Muhuza ambaye ni kada wa CCM (2020 Aligombea ubunge Kigoma mjini kWa tiketi ya CCM kashindwa kura za maoni)

lakini nimeshangaa sana wao kupendelea habari za upande mmoja na hawataki kusikiliza upande waPili.

Je tuamini kuwa U-FM imeamua Kuungana na Radio Uhuru, TBC,CLOUDS NA WASAFI kuwa Chawa wa serikali? Je U-FM nao wamefika bei na kuamua kuegemea upande mmoja?

Weledi wao uko wapi licha ya kuwa na manguli kwenye tasnia?

Au kwa kuwa Mwenye UFM ni wa upande wapili wa muungano na wameamua kumuunga mkono Mzanzibar mwenzao?

kama manguli wale wamekuwa madalali wa CCM na serikali tasnia ya habri kwa sasa haina kitu tena inajifia.

Hata juzi kwenye Press ya CHADEMA vyombo vyote ukiachilia clouds,wasafi na hiyo ufm viliipa nafasi kubwa sana habari ya CHADEMA ila Azam tv na ufm walipa nafasi kidogo sana tena ni kama walifanya kuepeuka lawama maana waliweka kipande cha sekunde 30 tu kile alichozungumza mbowe kwenda kuwashtaki nyahoza na Awahi haji.

Kwa wale ambao hawakusikiliza au waliathiriwa na kukatishwa kwa matanagzo hayo na UFM nimekuwekea hapa link ya kusikiliza Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024

IFIKE MAHALI WATU WANAOKUMBATIA WATAWALA NA KUWABAGUA WENGINE KWA MISINGI YA ITIKADI ZA VYMA TUWAKATAE KWA VITENDO
Wapo biased, UFm, efm,clouds wote ni machawa wa ccm, wameshikwa pumbu na ccm, hawawezi kufurukuta,
 
Back
Top Bottom