Kwanini U-FM Jana walikata matangazo DW Wakati John Pambalu alipokuwa akizungumza?

Redio zinabanwa na miongozo ya sheria, jana Pambalu alipoanza kuporomosha matusi ya nguoni, akitukana kila mtu kwa matusi mazifo, lazima matangazo yangekatwa. Hawa vijana wamefanya chama kimekuwa cha kihuni huni
Hayo matusi ni gani mkuu maana mimi baada ya kukata nilikuwa ansikiliza U-FM na Tumaini Radio je hayo matusi ni yapi? hebu yataje au tuwekee sauti ya hayo matusi sikiliza hii clip kuanzia dakika ya kumi na kuendelea useme hayo matusi Matangazo ya Mchana: 17.08.2024 – DW – 17.08.2024
 
Dawa ni kuwasusia bidhaa zao.
 
Hivi chadema mnashindwa kuanzisha chombo cha habari?,hiyo Sacco's yenu ni hovyo sana,mtalalamika mpaka siku yesu atakaporudi
 
DW iache kushirikiana na U-FM, kuna yeyote mwenye mawasiliano ya DW ili tupeleke malalamiko yetu?!.

Tafadhalini yawekeni hapa. KICORA
 
Hivi chadema mnashindwa kuanzisha chombo cha habari?,hiyo Sacco's yenu ni hovyo sana,mtalalamika mpaka siku yesu atakaporudi
sioni kama ni jambo Rahisi wka serikali hii kuwapa hao chadema leseni ya kuanzisha radio
 
Hivi chadema mnashindwa kuanzisha chombo cha habari?,hiyo Sacco's yenu ni hovyo sana,mtalalamika mpaka siku yesu atakaporudi
Ingekuwakuanzisha radio nirahisi kama unavyofikiria leo wangekuwa tayari wanazo hata Kumi.
 
Redio zinabanwa na miongozo ya sheria, jana Pambalu alipoanza kuporomosha matusi ya nguoni, akitukana kila mtu kwa matusi mazifo, lazima matangazo yangekatwa. Hawa vijana wamefanya chama kimekuwa cha kihuni huni
Alimtukana nani? Hebu tupe hayo matusi aliyosema tukuamini. Na kama redio ilikuwa haisikiki umesikia wapi hayo matusi
 
Matusi mazito sana, nikipost hapa JF watanipiga ban, vijana hawana adabu kabisa
Nimekuwekea hiyo link nzima hapo haijaeditiwa tuambie hayo matusi aliyataoa wapi? maana hiyo link ina kipindi kizima
 
Alimtukana nani? Hebu tupe hayo matusi aliyosema tukuamini. Na kama redio ilikuwa haisikiki umesikia wapi hayo matusi
nimemuwekea link ya hicho kipindi kutoka kwenye tovuti ya DW atuambie hayo matusi yako wapi
 
Sio jana tu....siku moja katika kusoma maoni ya wasikilizaji kuhusu Lissu kukamatwa Mbeya,maoni yakaanza hivi..."LISSU AMEKAMATWA KWA VILE AMETANGAZA KUGOMBEA URAIS, WAMEONA MGOMBEA WAO (wa CCM) HANA MVUTO.."😂😂Ufm wakakata hapohapo na kuweka muziki!

Hawa jamaa wakisikia mtangazaji anasema...."LEO KATIKA MEZA YA DUARA TUTAKUWA NA....LISSU/MNYIKA/PAMBALU nk" tegemea tu KUKATWA kwa matangazo!
Baruhani Muhuza ananiangusha sana kwa hili💩
 
Aisee mimi siwafuatiliaga sana ila hivi karibuni niliona usikivu wao ni mzuri sana nikaamua kuwa niwe nasikiliza DW kupitia wkao ila kwa haya basi niafadhali niwe nasikiliza live kupitia Tovuti ya DW SWAHIL.
 
Acha kusikiliza radio za Tanzania ambayo CCM wamenunua Kwa kuzihongaaaaaaa,kutoa fedha
 
Aisee mimi siwafuatiliaga sana ila hivi karibuni niliona usikivu wao ni mzuri sana nikaamua kuwa niwe nasikiliza DW kupitia wkao ila kwa haya basi niafadhali niwe nasikiliza live kupitia Tovuti ya DW SWAHIL.
Hazifai hizi raia!
 
Hapana, kilichotokea ni kipazasauti na ukaaji wa Pambalu haukuwa sambamba, Pambalu alipokaa sawasawa sambamba na kipaza sauti aliendelea kuongea alipoachia na kuhitimisha akiwa ametumia muda mwingi kuliko wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…