Kwanini U-FM Jana walikata matangazo DW Wakati John Pambalu alipokuwa akizungumza?

Wapo biased, UFm, efm,clouds wote ni machawa wa ccm, wameshikwa pumbu na ccm, hawawezi kufurukuta,
Shida ni nini hadi vyombo vya habari vinaamua kuwa upande wa watawala bila kujali hali ilivyo yaani ni kama mambo ya wananchi hayawahusu, ila wanataka wananchi ambao ndio wasikilizaji wao wawaunge mkono?

Je hizi media hatuna nguvu ya kuwasusia bidhaa zao? au tubanane tu nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…