Kwanini Ukristo unakataza kuoa wake wengi?

Kwanini Ukristo unakataza kuoa wake wengi?

Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Ukielewa maana ya Ukristo hutasumbuka na maswali yako.
 
Ndiyo. Kwani wewe ulitaka wangapi? Na maisha yenyewe yakibongo haya hujapata hata usafiri then utake kuongeza mke kweli
Sasa chief ndio upo na mke mmoja sasa michepuki ya nn kwann usiipitishe iyo michepuko uoe pia
 
Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Tuzungumzie Tanzania Kuna KANISA LINAFUNGISHA NDOA HIYO
 
Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Kwa nini ufuatilie mambo ya wengine?
 
Mi. Mwenyew nashangaa tumekatAzwaje lakn huko kwenye maandiko kuna walikuw na wanawake zaid ya mmoja. Namaandko yameandika


Huu ni msalaba mzto sana au kfungu hiko kwenye bible kiliandikwa na mwanamke (Eva)
 
We unaona Papa Francis kasema ndoa za mashoga zibarikiwe alafu unauliza kwanini wanakataa ndoa za wake wengi? Huna macho?
Papa ni mtu kama wewe. Kumbuka kuna ukristo na dini. Kwenye dini kuna madhehebu Roman Catotholic, Wasabato, KKT, Anglicana. AIC na mengine mengi hata huyajui.
Ukristo siyo kama uislamu unamsaidia Mungu kuhukumu ndiyo maana kuna watu wengi wanaouchafua ukristo lakini hakuna hata mtu anayempiga wala kumuua. Mfano hai Nabii Tito. Wakristo tunaamini Mungu ndiyo anahukumu na siyo wanadamu. Hizo ni sheria za Papa na siyo za wakikristo. Wapi kwenye Biblia kuna ruhusu watu wa jinsia mmoja kuoana? shida mfuasi wenu alikuwa hajui kusoma na kuandika kwahiyo mkisikia kauli za Papa mnachanganyikiwa

Sheria ya wakristo ni hii
Ulawiti na Ufiraji unakatazwa na Neno la Mungu,huo ni udhalimu,(1Wakorintho 6:9-10)- Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi
 
Mi. Mwenyew nashangaa tumekatAzwaje lakn huko kwenye maandiko kuna walikuw na wanawake zaid ya mmoja. Namaandko yameandika


Huu ni msalaba mzto sana au kfungu hiko kwenye bible kiliandikwa na mwanamke (Eva)
Shida hamsomi Biblia. Mnakuwa kama mtu ambaye hajui kusoma na kuandika halafu anapewa kitabu anawaambia kimeshushwa na nyinyi mnaamini.
 
Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Unajua Uislamu ulianzishwa Vatican? Mafundisho ya Papa na ya uislamu hayana tofauti wote lengo lao ni kuuchafua ukristo. Unajua kabisa Biblia inasema watu waoe mke mmoja halafu wewe na dini yako unalazimisha. Ndiyo mambo ya papa
Mtu ambaye hajui kusoma na kuandika anawaambia Quran imeshushwa na nyinyi mkaamini. Kama Quran ilishushwa ilikuaje Allah asimpe uwezo wa Mohamad ajue kusoma na kuandika?
downloadfile-1.png
 
Ukishazaliwa mkristu automatically Nguvu za kiume lazma zikusumbue na ukikaa vbaya unakuwa delicious
 
Unajua Uislamu ulianzishwa Vatican? Mafundisho ya Papa na ya uislamu hayana tofauti wote lengo lao ni kuuchafua ukristo. Unajua kabisa Biblia inasema watu waoe mke mmoja halafu wewe na dini yako unalazimisha. Ndiyo mambo ya papa
Mtu ambaye hajui kusoma na kuandika anawaambia Quran imeshushwa na nyinyi mkaamini. Kama Quran ilishushwa ilikuaje Allah asimpe uwezo wa Mohamad ajue kusoma na kuandika?
View attachment 3247968
Unajua Uislamu ulianzishwa Vatican? Mafundisho ya Papa na ya uislamu hayana tofauti wote lengo lao ni kuuchafua ukristo. Unajua kabisa Biblia inasema watu waoe mke mmoja halafu wewe na dini yako unalazimisha. Ndiyo mambo ya papa
Mtu ambaye hajui kusoma na kuandika anawaambia Quran imeshushwa na nyinyi mkaamini. Kama Quran ilishushwa ilikuaje Allah asimpe uwezo wa Mohamad ajue kusoma na kuandika?
View attachment 3247968
Hahahaha! Hii dunia Kuna vitu vinachekekesha Sana miaka milioni 28 unafanya tu hata bao moja bado. Eti bado na mtu Ni mfuasi wa dini hii kweli jamani 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Hujawahi kujiuliza kwanini mwanamke haruhusiwi kuolewa na wanaume wengi?
Kama dini ina usawa kwanini iruhusu mwanaume kuoa wengi na imkataze mwanamke kuolewa na wengi?
 
Nimekaa nikajuiliza kwanini hawa majiarani zetu(wakristo) hutumia nguvu kubwa saana mambo ya kuoa mke zaidi ya mmoja kama walivyo waislam wasukuma wamasai nk

But suala la ajabu wanaume kwa wanaume kuoana kanisa linabariki mara utasikia UK jamaa kaoa mbwa mara kuna mwanamke kao mwanamke mwenzie church

Usitukane just nimewaza kimaandishi
Kanisa sio Ukristo, Ukristo muongozo wke upo kwenye maandiko wapi Ukristo unaruhusu ushoga.
 
Unafundisha somo la uvumilivu kwa vitendo
 
Sasa kuna uhusiano gani kati ya kutokujua kusoma na kushushwa kwa Qur’an
Quran haijashushwa. Hapo kuna namna ilifanyika.
Kama alishushiwa, kwanini huyo aliyemshushia hakumpa uwezo wa kujua kusoma na kuandika? Mpaka anakufa mzee wa watu hajui kusoma na kuandika.🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
Naangalia filamu hapa. Muislamu mmoja kashika bunduki, anamuelekezea padri anamwambia aseme "hakuna mungu pekee zaidi ya Allah". Padri kagoma, wakamuua na kwenye kundi hilo la waislamu wengine wanabaka.
Dini gani hiyo inaruhusu ujinga wa namna hiyo? Hapa utabisha utasema hiyo ni filamu
Tukio la October 7, Wapalestina walivamia Israel, wakabaka, wakaua na kuchukua mateka huku wanashangilia Allah Akbar ila walipotangaziwa vita dunia nzima iliwaonea huruma
 
Naangalia filamu hapa. Muislamu mmoja kashika bunduki, anamuelekezea padri anamwambia aseme "hakuna mungu pekee zaidi ya Allah". Padri kagoma, wakamuua na kwenye kundi hilo la waislamu wengine wanabaka.
Dini gani hiyo inaruhusu ujinga wa namna hiyo? Hapa utabisha utasema hiyo ni filamu
Tukio la October 7, Wapalestina walivamia Israel, wakabaka, wakaua na kuchukua mateka huku wanashangilia Allah Akbar ila walipotangaziwa vita dunia nzima iliwaonea huruma
Hao si waislam bali ni wanaouchafua uislamu
 
Back
Top Bottom