Ndivyo Mungu alivyoamuru,Mme Mmoja na Mke Mmoja,(Mwanzo2:21-24) na (Mathayo19:4-7)
(1Wakorintho7:1-2)- Kila mtu awe na Mkewe.
Biblia inakataza ndoa ya Mwanaume kwa Mwanaume,hayo ni machukizo mbele za Mungu,(Walawi20:13)-Tena mtu mume akilala pamoja na mtu mume, kama alalavyo na mtu mke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauawa; damu yao itakuwa juu yao.
Ulawiti na Ufiraji unakatazwa na Neno la Mungu,huo ni udhalimu,(1Wakorintho6:9-10)- Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Kanisa la Mungu haliwezi kubariki Ndoa za Jinsia Mmoja.
UCHAFU UNAOFANYWA NA WAZUNGU SIYO AGIZO LA KANISA LA MUNGU ULIMWENGUNI.