Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Mathalani,
Umepata Rafiki au Mchumba kwenye miongoni mwa mitandao ya kijamii, kwa mfano ulipokea simu ya aliekosea namba au ulipiga simu kwa kukosea namba akapokea asie husika, then mpokea simu ama wewe mpiga simu kimakosa mkatamani mjuane zaidi na baada ya hapo mkawa Marafiki, tena huenda ni wa kimapenzi.
sasa kimbembe huwa ni siku ya kukutana na kuonana uso kwa macho...
ni kwanini watu huviziana kuonana physically katika eneo walilo kukubaliana kukutana bila kujiamini? au mitandao haiaminiki?
Mtu anamueleza kabisa mwenzie kwamba ameshafika eneo husika, wewe upo upande gani basi,?
Utaskia Jamaa aliejificha, aahaa, umeshafika kumbe, ndio wewe ulievaa nguo nyekundu na suruali ya njano hapo karibu na kibanda cha tigo pesa?
Geuka nyuma utaniona hapa kwenye badaboda walipo, nimevaa cape ya pink, usitoke nakuja hapo hapo ulipo dah.
Kumbe mtu kaambiwa ageuke ili jamaa asiejiamini a learn physical and facial language yake ilivyo dah, na huenda kuna uwezekano wa kupotea hewani, ikiwa atamsogelea kwa karibu zaid na kubaini yaliyomo kumbe hayamo dah,!
Nyie haya mahusiano na mitandao ya kijamii ni balaa 🐒
Umewahi kupitia songombingo hii ya kabokamchizi kwenye sehemu mahusiano wako wa kimapenzi?🐒
Umepata Rafiki au Mchumba kwenye miongoni mwa mitandao ya kijamii, kwa mfano ulipokea simu ya aliekosea namba au ulipiga simu kwa kukosea namba akapokea asie husika, then mpokea simu ama wewe mpiga simu kimakosa mkatamani mjuane zaidi na baada ya hapo mkawa Marafiki, tena huenda ni wa kimapenzi.
sasa kimbembe huwa ni siku ya kukutana na kuonana uso kwa macho...
ni kwanini watu huviziana kuonana physically katika eneo walilo kukubaliana kukutana bila kujiamini? au mitandao haiaminiki?
Mtu anamueleza kabisa mwenzie kwamba ameshafika eneo husika, wewe upo upande gani basi,?
Utaskia Jamaa aliejificha, aahaa, umeshafika kumbe, ndio wewe ulievaa nguo nyekundu na suruali ya njano hapo karibu na kibanda cha tigo pesa?
Geuka nyuma utaniona hapa kwenye badaboda walipo, nimevaa cape ya pink, usitoke nakuja hapo hapo ulipo dah.
Kumbe mtu kaambiwa ageuke ili jamaa asiejiamini a learn physical and facial language yake ilivyo dah, na huenda kuna uwezekano wa kupotea hewani, ikiwa atamsogelea kwa karibu zaid na kubaini yaliyomo kumbe hayamo dah,!
Nyie haya mahusiano na mitandao ya kijamii ni balaa 🐒
Umewahi kupitia songombingo hii ya kabokamchizi kwenye sehemu mahusiano wako wa kimapenzi?🐒