Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
ni kitu hakiwezekani, tukikutana leo, utelez ni must!Kumbe watu wa Lumumba Fc ndio tabia yenu.
Shuda inakuja unataka kukutana na mtu na ushajenga taswira zako kichwani, tayari unataka kumla kabla ya kumuona...
Kwani mkionana kama marafiki tu kuna shida gani, kama kuna mengine yatajitokeza baadae huko.