Kwanini unajificha na kuchungulia kwa manati unapotaka kuonana na Rafiki ulimpata mitandaoni?

Kwanini unajificha na kuchungulia kwa manati unapotaka kuonana na Rafiki ulimpata mitandaoni?

wafupi tumewakosea nini lakini,๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š
Kudate na mtu Mfupi sio tatizo...

Tatizo na pale Mbuzi akifungwa kamba Fupi halafu akalazimisha kufuata majani ya mbali... ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
sasa kimbembe huwa ni siku ya kukutana na kuonana uso kwa macho...

ni kwanini watu huviziana kuonana physically katika eneo walilo kukubaliana kukutana bila kujiamini? au mitandao haiaminiki?
Huyo ni wewe sisi wengine huwa tunatembea kwa style zote na kujitambulisha "unamuona huyo anayepita? Ndi mie huyo"
 
Mimi na mpenzi wangu Gwele tulifahamiana hapa hapa Jf na siku ya kuonana physical kwa mara ya kwanza hakuna aliemvizia mwenzakeโค๏ธ
kujiamini na kuaminiana ni miongoni mwa mambo ya msingi na ya maana sana kwenye mahusiano hata kama hamjawahi kuonana actual physically bali kupitia picha na video pekee๐Ÿ‘Š๐Ÿ’ช ๐Ÿ’
 
kujiamini na kuaminiana ni miongoni mwa mambo ya msingi na ya maana sana kwenye mahusiano hata kama hamjawahi kuonana actual physically bali kupitia picha na video pekee๐Ÿ‘Š๐Ÿ’ช ๐Ÿ’
hakika
 
kwahivyo ikaweje baada ya kukutana na huo muujiza wako sasa? ๐Ÿ’
Ilibidi nipambane na hali yangu mixer fedheha.

Siwezi kumkosoa Mungu ila yule kiumbe alikuwa na sura pamoja na umbile ambalo vinaweza pendwa na kusifiwa na mama yake mzazi tu.

Ila nilivyochomoka pale, hata nyuma sikuangalia.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚a
Oaaa weee nilipata duu mmoja anasoma mipango dodoma...

Tulikua hatujawahi onana ni kuchat tuu na kutumiana picha wasapu .

Sasa siku nikasema ngoja nimfate kwakuwa yeye alikua amepanga ikawa ni simple kwenda..

Basi mwanaumeme nikatoka zangu cive pale gari moja tuu mpaka general hosp.. nikapanda za kwenda mipango.

Kwanza kufika tu sikumwambia nikafika afu nika chill pemben.
Nikamuuliza nikifika nishukie wapi..

Then nikamuuliza nakukuta wapi..
Oaaa kiufupi tulizungushana sana an sana mara yupo sheri... Mi niki mzoom simuoni

Mara yupo huku an hatari ila end of day mi ndo nili win huu mchezo.

Tukaonana akabaki anashangaa tuu..๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
Siku hiyo hyo nilikiwashaaa magheton kwake.

Hiyo ni ligi ya first year na third year sijui ndo alikua anamaliza yule mdada
 
Matokeo haya.
1: Mwisho wa mahusiono
2: Muendelezo wa mahusiano na tarajio likiwa ndani ya siku mbili tatu lengo kuu litimie
3: Lengo kuu kufikiwa
Lengo kuu likiwa nini mkuu?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚a
Oaaa weee nilipata duu mmoja anasoma mipango dodoma...

Tulikua hatujawahi onana ni kuchat tuu na kutumiana picha wasapu .

Sasa siku nikasema ngoja nimfate kwakuwa yeye alikua amepanga ikawa ni simple kwenda..

Basi mwanaumeme nikatoka zangu cive pale gari moja tuu mpaka general hosp.. nikapanda za kwenda mipango.

Kwanza kufika tu sikumwambia nikafika afu nika chill pemben.
Nikamuuliza nikifika nishukie wapi..

Then nikamuuliza nakukuta wapi..
Oaaa kiufupi tulizungushana sana an sana mara yupo sheri... Mi niki mzoom simuoni

Mara yupo huku an hatari ila end of day mi ndo nili win huu mchezo.

Tukaonana akabaki anashangaa tuu..๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹
Siku hiyo hyo nilikiwashaaa magheton kwake.

Hiyo ni ligi ya first year na third year sijui ndo alikua anamaliza yule mdada
vijana wengi wanaogopa sana kukutana miujiza yao aise, baada ya maombi mengi na ahadi za muda mrefu sana za kukutana macho kwa macho....

field wanajawa hofu na woga kupindukia ๐Ÿ’
 
Acha kabisa unanikukbusha mwaka 2010, kuna manzi nimekutana nayo facebook, akafosi sana tuonane, ofcourse kwa picha za Fb alizokuwa ameziweka zilikuwa zinavutia , basi bwana tukapanga tukutanie Kinondoni "B" , nilichofanya ni kumsubiria yeye aniambie kuwa amefika ili iwe rahisi mimi kumuona kwanza ambapo itanirahisishia mimi kumthaminisha niamue kumpokea au nimpotezee juu kwa juu, basi bwana akanipigia simu kuwa tiyari amefika , na mimi huyo nikatoka zangu Manyanya taratibu kumfuata, nikiwa kwa mbali nikamvutia waya nikqmuuliza amevaa vipi, nikawa nimemtambua nikazima simu alafu mdogomdogo nikamfuata kwa ukaribu bila yeye kunijua, wakati huo ananipigia hanipati ๐Ÿคฃ. Nika kaa jirani yake kabisa namthaminisha, kiukweli shape alikuwa nalo ila usoni chunusi zilimzidia mpaka zinatia hofu.


Ahhh nikasema hii hapana. Nikaondoka! Kuja kuwasha simu malalamiko ya kutosha, nikamwambia fanya tuonane wakati mwingine nilipata dharura na simu ikazima chaji, mpaka leo hatujawahi kuonana namkwepa tu
 
Acha kabisa unanikukbusha mwaka 2010, kuna manzi nimekutana nayo facebook, akafosi sana tuonane, ofcourse kwa picha za Fb alizokuwa ameziweka zilikuwa zinavutia , basi bwana tukapanga tukutanie Kinondoni "B" , nilichofanya ni kumsubiria yeye aniambie kuwa amefika ili iwe rahisi mimi kumuona kwanza ambapo itanirahisishia mimi kumthaminisha niamue kumpokea au nimpotezee juu kwa juu, basi bwana akanipigia simu kuwa tiyari amefika , na mimi huyo nikatoka zangu Manyanya taratibu kumfuata, nikiwa kwa mbali nikamvutia waya nikqmuuliza amevaa vipi, nikawa nimemtambua nikazima simu alafu mdogomdogo nikamfuata kwa ukaribu bila yeye kunijua, wakati huo ananipigia hanipati ๐Ÿคฃ. Nika kaa jirani yake kabisa namthaminisha, kiukweli shape alikuwa nalo ila usoni chunusi zilimzidia mpaka zinatia hofu.


Ahhh nikasema hii hapana. Nikaondoka! Kuja kuwasha simu malalamiko ya kutosha, nikamwambia fanya tuonane wakati mwingine nilipata dharura na simu ikazima chaji, mpaka leo hatujawahi kuonana namkwepa tu
dah,
uliukataa na kuukana muujiza wako kikatili sana, yaani ukazima simu na ukamsogelea kabisaa kwa karibu zaidi kwaajili ya phisibility study ya real body language and facial expressions, huku hajui kwamba yuko anafanyiwa scanning na mjuba?dah๐Ÿ’

huenda alipata majonzi sana,
lakini pia huenda wewe ndie uliepangwa kuyapunuza machunusi yake ๐Ÿ’
 
Kumbe watu wa Lumumba Fc ndio tabia yenu.

Shuda inakuja unataka kukutana na mtu na ushajenga taswira zako kichwani, tayari unataka kumla kabla ya kumuona...

Kwani mkionana kama marafiki tu kuna shida gani, kama kuna mengine yatajitokeza baadae huko.
Wengi hawana subira kwenye hilo, wanataka siku hiyo hiyo wavue pichu.
 
Acha kabisa unanikukbusha mwaka 2010, kuna manzi nimekutana nayo facebook, akafosi sana tuonane, ofcourse kwa picha za Fb alizokuwa ameziweka zilikuwa zinavutia , basi bwana tukapanga tukutanie Kinondoni "B" , nilichofanya ni kumsubiria yeye aniambie kuwa amefika ili iwe rahisi mimi kumuona kwanza ambapo itanirahisishia mimi kumthaminisha niamue kumpokea au nimpotezee juu kwa juu, basi bwana akanipigia simu kuwa tiyari amefika , na mimi huyo nikatoka zangu Manyanya taratibu kumfuata, nikiwa kwa mbali nikamvutia waya nikqmuuliza amevaa vipi, nikawa nimemtambua nikazima simu alafu mdogomdogo nikamfuata kwa ukaribu bila yeye kunijua, wakati huo ananipigia hanipati ๐Ÿคฃ. Nika kaa jirani yake kabisa namthaminisha, kiukweli shape alikuwa nalo ila usoni chunusi zilimzidia mpaka zinatia hofu.


Ahhh nikasema hii hapana. Nikaondoka! Kuja kuwasha simu malalamiko ya kutosha, nikamwambia fanya tuonane wakati mwingine nilipata dharura na simu ikazima chaji, mpaka leo hatujawahi kuonana namkwepa tu
๐Ÿ˜‚ kwahyo ulidhani unaenda kukutana na wife material sio?
 
Back
Top Bottom