Kwanini unajificha na kuchungulia kwa manati unapotaka kuonana na Rafiki ulimpata mitandaoni?

ni kitu hakiwezekani, tukikutana leo, utelez ni must!
 
Kwasasa jamaa ndio binadamu pekee duniani asieamini chochote kwenye Mitandao..

Ukiachana na kumblock mitandaoni, Jamaa lilienda mpaka Posta, Likablock hadi Sanduku la Posta la Yule mtoto πŸ˜„
uskute jamaa mpaka sasa hua anaogopa hata kukatiza maeneo alipokutana na huo muujiza wake physically,

maana zimwi likujualo halikuli likakwisha,πŸ’
 
Wewe ni generation gani mkuu?
 
Enzi za mitandao ya Darhotwire nilivaba kwenda kukutana kituko cha karne. Ubaya location alitoa yeye kwahiyo sikuweza kimbia maana nilitangulia kufika.

Ushawahi kutana na msukule wa kishua? Ndio yalinikuta mimi. Demu anaongea kizungu ila ana kaumtambo kwa mbali. Niliomba ardhi apasuke.

Nashukuru Mungu nilitoka hai.
 
Wewe ni generation gani mkuu?
huenda naelekea kukaribia huruma na ustaarabu wako hapo mbeleni...

na binafsi sitaki kujivunga kufanya kila ninachopaswa kukifanyika sasa hivi kwenye urika huu, kije kuniumbua huko mbeleni kwenye kwenye urika wa wengine wakati nitakua na majukumu mazito na muhimu zaid ya kitaifa na kimataifa πŸ’
 
Nadhani wewe ndiye Mhenga uliesema "Kila hatua dua"

Mana ilikua inapigwa dua kwa kila hatua siku hiyo....
 
kwahivyo ikaweje baada ya kukutana na huo muujiza wako sasa? πŸ’
 
Nadhani wewe ndiye Mhenga uliesema "Kila hatua dua"

Mana ilikua inapigwa dua kwa kila hatua siku hiyo....
mpaka ukakumbuka ibada na ulikuga husali, dah...

ama kwa hakika siku hiyo ilikua nzito sana πŸ’
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Urafiki wa bila benefits
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…