Kwanini utawala wa Nyerere ulikumbwa na misukosuko mingi ukilinganisha na utawala wa Mwinyi, Mkapa na wengine?

Aliingia kwenye siasa za kijamaa bila kuwa tayari kulipa gharama kubwa kuzifanya zifanye kazi na kutekelezeka kama ilivyokuwa China chini ya Mao ambaye aliwatoa kafara Wachina million 20 ili kuifanya China ipige maendeleo chini ya Ujamaa.
 
Zamani wananchi walikuwa na skili sana kulingana na vyakula walivotumia na waalimu waliowafundisha ukilinganisha na sasa , hata kija wa university hata kiongea hoja hajui.
 
Mnapomzodoa JKN, msisahau kwamba alikuwa akisafiri kwa baiskeli ya kuazima ili kuwahamasisha vijana wajiunge na TANU ili kuandaa harakati za kuikomboa nchi kutoka kwa Mzungu.

Badala ya kumsingizia uongo, jiulize wewe unalifanyia nini taifa? Linganisha umri wako sasa na ule wa JKN wakati huo, unaona uko sawa akilini kweli?

Eti Mwalimu alishindwa, Mwalimu alifeli, Mwalimu alikurupuka! Emu tokeni kule!
 
Wanafunzi wa Mihamed Said hawa, wamelishwa ujinga hadi wameshiba!!
Eti Mwalimu aling'atuka kwa kuogopa kupinduliwa!

Nchi hii kuna watu wamesambaza upumbavu kwa misingi fulani hivi ili watu fulani waendelee kulala na majizi kuanzia kina Mwinyi yaendelee kuneemeka!
 
jiwe angavu njoo utie neno huku.
JKN alipata kisuko suko mingi katika serikali yake kwanza ni sera yake ya ujamaa ambayo ilifeli vibaya dhidi ya sera za kibepari ukizingatia nchi ndio kwanza inaanza kusimama...

alipata upinzani mkubwa sana hasa ndani ya nchi mana wengi walijawa uchu wa madaraka na kuzionaa sera zake za kijamaa ni sera kandaminzi na za kimasikini mna wafanyabiashara wakubwa walinyangangwa mali zao nyingi zilitaifishwa na viongozi wa chama naserikari kuwekewa vizuizi vingi katika suala la umiliki wa mali kupitia azimio la arusha..

Vita vya uganda navyo viliangusha sana uchumi wa nchi...na kusababisha hali ngumu sana ya kiuchumi.

Ila he was and always will remain the best president mpaka sasa katika nchi hii.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hizi ni mburula zilizolishwa ujinga makusudi hadi zmepofuka!

Awamu zilizofuatia baada ya Mwalimu zote zime/zilijaa marushwa makubwa...sasa yeye kwa ujinga wake anaona ndio maendeleo
 
Huyu sunk msamehe tu ndio kwanza ana siku sio nyingi tangu atoke mirembe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na wewe uliwahi kuvaa viraka na kuimba zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti? πŸ˜‚πŸ˜‚

Naona Babu umetokwa povu sio la Nchi hii.
Hata ningevaa viraka, leo hii watu kama wewe huna uwezo wa kufikia nilipofikia mimi niliyevaa viraka!

Hopeless kabisa.
Hii inaonyesha katika mabandiko yako mengi ya kipuuzi unayoweka humu jukwaani.
 
Mkuu, bado hukuelewa lengo la siasa ya ujamaa lilikuwa nini. Huwezi kusema ujamaa ulifeli huku huonyeshi ubepari ulipofanikiwa wakati huo wa hali duni sana kiuchumi duniani kote.

Ni rahisi sana watu kusema ujamaa ulifeli, ujamaa ulileta matatizo, lakini hawana uwezo wa kueleza kwa vipi.
Sana sana ni kurudia propaganda zile zile za enzi za vita baridi.
 
Duh, hadithi za ajabu sana hizi. "Sokoine amtumbue Nyerere"?

Tueleze hiyo "stori" ya meli iliyouzwa kimya kimya!
 
Umeandika vizuri mnoo... ila kawawa hakuwahi fungwa na mauaji yaliyomfanya mwinyi ajiuzuru hayafikii yale ya mkapa 2000
 
Hizi ni mburula zilizolishwa ujinga makusudi hadi zmepofuka!

Awamu zilizofuatia baada ya Mwalimu zote zime/zilijaa marushwa makubwa...sasa yeye kwa ujinga wake anaona ndio maendeleo
Wakishika smartphone mtandaoni sasa hivi na kushinda miguu juu kwenye sofa na chumba chenye AC mchana kutwa usiku kucha, wanadhani maisha ndivyo yalikuwa tangu mwanzo.

Usahaulifu huu ni wa kiwango cha Mchina.
 
Ubepari Ulifanikiwa huku

Ujerumani Magharibi
Korea Kusini
Japan
Zimbabwe
Botswana.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Hii ya kuuza meli kimya kimya hadi kunusurika kutumbuliwa na Sokoine sikuwahi kuisikia hiyo mkuu. Dah kweli JF ina wajuzi wengi wa kimya kimya.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£ Hii ya kuuza meli kimya kimya hadi kunusurika kutumbuliwa na Sokoine sikuwahi kuisikia hiyo mkuu. Dah kweli JF ina wajuzi wengi wa kimya kimya.
Ilikuwa balaa jamaa alienda dodoma ,akasema nikifika dsm mkuu wa nchi atangaze la sivyo ama yeye au mimi........
 
Ilikuwa balaa jamaa alienda dodoma ,akasema nikifika dsm mkuu wa nchi atangaze la sivyo ama yeye au mimi........
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Oh kwahiyo baada jamaa kusema hivyo, alipokuwa anarudi Dar kutoka Dodoma ndo yakatokea yale yaliotokea au nimewaza tofauti?
 
Kwa comment hii nafikiri mleta mada sambamba na sisi tuliongia kusoma uzi huu tutakuwa tumekuelewa vizuri mkuu.
 
Kawawa hakufungwa jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…