Imepigwa Linux moja hatari sana mzee commands za kuua watuokay hizo zinakuaga multiple choice tu mzee lakini nasikia zinakuaga za Moto sana
😂😂😂😂 Utumishi hawanaga huruma waleImepigwa Linux moja hatari sana mzee commands za kuua watu
Atc auImepigwa Linux moja hatari sana mzee commands za kuua watu
Labda mtandao tu kiongozi ilikuwanzito asubuhi asaivi freshAjira portal nzito sana Leo ni Mimi tu au Kuna mtu ameface hili Leo?haifunguki
Basi inawezekanaLabda mtandao tu kiongozi ilikuwanzito asubuhi asaivi fresh
Lab technician in computer science
NITAtc au
Duh hatar mzee polen sn
Pole sana mzee bs huo ndo mkando wa utumishi kaza buti usikate temaaWazee japo matokeo hayajatoka ila nimekutana na multiple choice iloyoenda shule asee.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi ila kiukweli mambo magumu.
Zamani nilikuaga nawaza mnaokandwa written ni vilaza kumbe sio asee duh .
Utumishi utumishi
Hahahahaaa, pole sana mkuu.Wazee japo matokeo hayajatoka ila nimekutana na multiple choice iloyoenda shule asee.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi ila kiukweli mambo magumu.
Zamani nilikuaga nawaza mnaokandwa written ni vilaza kumbe sio asee duh .
Utumishi utumishi
😂😂😂😂😂Ameshaelewa utumishi walivyo na maajabu yao sasaHahahahaaa, pole sana mkuu.
Huo ndio mkando sasa
HahahahahaWazee japo matokeo hayajatoka ila nimekutana na multiple choice iloyoenda shule asee.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi ila kiukweli mambo magumu.
Zamani nilikuaga nawaza mnaokandwa written ni vilaza kumbe sio asee duh .
Utumishi utumishi
Wale jamaa. Ni noma kwa maswali unaweza kandwa mpka ukasahau kurudi gesti na ukajikuta upo terminal unasubiri Yutong ya kwenuWazee japo matokeo hayajatoka ila nimekutana na multiple choice iloyoenda shule asee.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi ila kiukweli mambo magumu.
Zamani nilikuaga nawaza mnaokandwa written ni vilaza kumbe sio asee duh .
Utumishi utumishi
Yaani wamekubali kuweka majina ya nyongezo kisa uja certified vyeti mbna Kuna wakt ss tulikoza kbsa kbsaMajina ya nyongeza nasikia yatatoka wiki hii mwishoni au wiki ijayo mwanzoni. Pia kama NOAT au HESLB uliomba na sifa unazo ila ukaandikiwa vyeti havijakuwa certified, usipige simu nenda ofisi kwao ili mwisho wa wiki hii au ijayo wakuweke kwenye pdf ya majina ya nyongeza, kuna sister angu kaenda leo pale ofisi za Dar kasaidiwa , awali aliwapigia simu ila hawakupokea hivyo akaamua kupanda gari kwenda ofisi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wape vijana area of concentrationWakuu mlioitwa kwenye saili zinazoanza tar 28.. someni kabisa vijana, PSRS sio wajinga kutoa majina mapema, lengo kuu ni kuwapa vijana mda wa kujiandaa kiakili na kipesa..
Sasa we Endelea kujiandaa kipesa ukifurahi kuwa umeitwa Usaili na kufikiri kama umepata kazi mazima...!!! Hv Ile nyomi hamuioni..? Someni vijana msije kusema sikuwaambia pindi mtakapokandwa Hadi nywele za kisogoni[emoji23][emoji23]
Hii quote inawahusu hizi familiar HESLB & NAOT..
Kwa upande wa UDSM watu washakandwa kitambo na washarudi makwao,, Leo wengine wameanza kukandwa kwenye Oral..
But nawatakia Kila la kheri wakuu, siku nitafurahi kuona members Wote tunaojuana humu JF tumepata kazi ndani ya Utumishi wa Umma.
Multiple choice post gani mkuu?Wazee japo matokeo hayajatoka ila nimekutana na multiple choice iloyoenda shule asee.
Hii ndo interview yangu ya kwanza utumishi ila kiukweli mambo magumu.
Zamani nilikuaga nawaza mnaokandwa written ni vilaza kumbe sio asee duh .
Utumishi utumishi
Kakaribishwa ramsiHahahahaaa, pole sana mkuu.
Huo ndio mkando sasa