Mwaisa1202
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 482
- 1,076
Ujaelewa ndugu, yaani kuna watu hawajaitwa na sababu wameandikuwa kuwa vyet havijawa certified, na wakati sio kweli hivyo ukienda kuwaqmbia wanakuita kwenye majina ya nyongeza....ila km sababu waliyokuandikia kuachwa na kweli hiyo kitu ujafanya hata ukienda hawawezi kukusaidiaYaani wamekubali kuweka majina ya nyongezo kisa uja certified vyeti mbna Kuna wakt ss tulikoza kbsa kbsa
Lab technician in computer science pale NITMultiple choice post gani mkuu?
Mkeka wataweka tu huwa wanaanzia kwenye accountWazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.
Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .
Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Waliuliza maswali gani mkuuWazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.
Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .
Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Mimi pia nilikaribishwa hivyo nilinyong'onyea sanaKakaribishwa ramsi
Huwa wanautaratibu wa kutangulia kuweka kwenye acount kwanza.Wazeee rasmi kwa mara ya kwanza nimekandwa na utumishi mapema nawekwa nje ya tournament.
Ila hii ni interview ya mwisho kufeli kiukweli imenifundisha mengi kwa mda mfupi sana .
Ila nachoshangaa hajatoa mkeka matokeo unakutana nayo kwenye account.
Multiple choice ya Linux na osWaliuliza maswali gani mkuu
Wameshaweka tayari akacheki damu yake aliyoipanda utumishi hukoπHuwa wanautaratibu wa kutangulia kuweka kwenye acount kwanza.
Pdf wataitoa baadae
Nafikiri haya maswali yaliongelewa kwenye uzi wa maswali ya psrs labda hukupitia huo uzi mkuuMultiple choice ya Linux na os
Nimekosa mbili tu dadeki zaoWameshaweka tayari akacheki damu yake aliyoipanda utumishi huko[emoji23]
ππππKawaida kiongozi ndo utumishi haoNimekosa mbili tu dadeki zao
Lakini umeshapata experience ndo chamuhimuNimekosa mbili tu dadeki zao
Mie nishasema mda tu IT mtu asome OS NA network vizuriNafikiri haya maswali yaliongelewa kwenye uzi wa maswali ya psrs labda hukupitia huo uzi mkuu
Itakuwa hakuzingatia unajua hizi interview za utumishi nishaona experience inasaidia sana aseeh yani ukipata muongozo vizuri kwa waliotoboa lazima utatoboa tu nadhani watu wawewapitia michango ya humu inasaidia sanaMie nishasema mda tu IT mtu asome OS NA network vizuri
Ardhi wako vizuri placement fastaNaona Placements za Ardhi na MoCU zushakua hadharani. Wadau fikeni kule mkajue hatima yenu.
Hawajalemba wiki mbili hazijapitaArdhi wako vizuri placement fasta
ππππHizi zitatuua mkuu tuziache tuHizi status za account zinachanganya sana leo tena imebadilika from shortlisted to selected for oral interview.....