Hiyo Oral unatakiwe uwe unakijua kimalkia vizuri na materials yawe vizuri kichwani kwa hilo nyomi ukikosea hata tenses wanakula kichwa.Na mimi nimeona, nimekimbia nije nikomenti kumbe umeniwahi.
Yaani wote waliopata 50 kwenda juu wameitwa oral.
Patamu hapo angalau watu wakaingie kwenye kanzidata
Probably post ni nyingi zinaendana na ratioNa mimi nimeona, nimekimbia nije nikomenti kumbe umeniwahi.
Yaani wote waliopata 50 kwenda juu wameitwa oral.
Patamu hapo angalau watu wakaingie kwenye kanzidata
Nilitaka kuuliza post ziko ngap?Probably post ni nyingi zinaendana na ratio
Wanasheria hao watakuwa na angalau ngeli za kuombea maji, watapambanaHiyo Oral unatakiwe uwe unakijua kimalkia vizuri na materials yawe vizuri kichwani kwa hilo nyomi ukikosea hata tenses wanakula kichwa.
Ndio sababu aisee nusu Wana uhakika wa ajiraAs much as 100.
View attachment 2395879
Hivi wakishatoa majina au bado..maana dogo wangu aliomba kada ya Takwimu...Ndio sababu aisee nusu Wana uhakika wa ajira
Sijajua kakaHivi wakishatoa majina au bado..maana dogo wangu aliomba kada ya Takwimu...
Asali nje nje, labda wazingue kwenye oralAs much as 100.
View attachment 2395879
Hii ni uhakika yani kazi ipo njeAsali nje nje, labda wazingue kwenye oral
Asali nje nje, labda wazingue kwenye oral
Usikute ata written haikubana sana maana wanataka wengi maana zingine unakutana waliopata 50 ni wa 4 tuπππAsali nje nje, labda wazingue kwenye oral
Yes inawezekana pia wamestandardise mark pia hao wa 50 mradi waingie oral wengiUsikute ata written haikubana sana maana wanataka wengi maana zingine unakutana waliopata 50 ni wa 4 tuπππ
Yah itakua wamerahisha maisha maana kusema hamna alipata below 50 ht 1 ngumuYes inawezekana pia wamestandardise mark pia hao wa 50 mradi waingie oral wengi
Mungu awabariki wadau wenzetuYah itakua wamerahisha maisha maana kusema hamna alipata below 50 ht 1 ngumu
Mimi kwa sasa napambania kwenda oral, mengine survive for fittest itachukua mkondo[emoji3][emoji3]Hii ni uhakika yani kazi ipo nje
Mungu ni mwema, lini unaenda kupiga written?Mimi kwa sasa napambania kwenda oral, mengine survive for fittest itachukua mkondo[emoji3][emoji3]
Alhamisi ya wiki hiiMungu ni mwema, lini unaenda kupiga written?
Komba na msuli kaka, I wish you all the best.Alhamisi ya wiki hii