billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Vipi kaka maswali wanakaza kwenye NAOT?Mimi kesho ndo naingia.Jobless halisi ni mimi ambaye huwa lazima nibargain nauli boda boda au bajaj kama leo.
Yaani bajaj anakomaa eti buku, nikasema bora nipate boda kwa hii buku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
NB: Hapa tuna jobless walioufubaza ujobless na jobless ambao ujobless wao upo active
Mbona hata Naot ni TGS D ndugu. May be kitachotofautisha hapo ni marupurupu basiJamaa kaichoka TGS [emoji28][emoji28]
Labda kuna marupurupu yakutoshaMbona hata Naot ni TGS D ndugu. May be kitachotofautisha hapo ni marupurupu basi
Shida nini mkuu??Ila haya maisha jaman hayako fea kabisa
Hahaha ni TGS E mkuu au kada zinatofautiana nini mkuu afu NAOT nadhan per diem zatakuwa nying kuliko tamisemi akaona isiwe tabuMbona hata Naot ni TGS D ndugu. May be kitachotofautisha hapo ni marupurupu basi
πππππ Prok amepotea kabisa haonekani
πππ Utumishi wamekukanda na ngumi ya ndoige au?Ila haya maisha jaman hayako fea kabisa
Hata wizarani kwa ngazi ya bachelor n TGS D, allowance zao ndio utakubali show.Mbona hata Naot ni TGS D ndugu. May be kitachotofautisha hapo ni marupurupu basi
Kuna situation zinatulazimu kubargain mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nauli ni muhimu sana kubargain mzee usibargain hata Mungu mwenyewe hapendi
Nishakandwa hapa nasubiri MUCE na IAEWadau mliofanya usaili MUHAS placement zimetoka mkaangalie
Hahahahaa, huenda kakuta yaliyomo sio aliyoyatarajia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anataka kuwakimbia tamisemi??hahhhh ameona huko mrija ni mrefu sana
Nishakandwa kitambo mida ya saa tisa mchanaVip Pepa tayari au bado
Yeye ni kada ya Afya, bila shaka ni TGHSJamaa kaichoka TGS [emoji28][emoji28]
πππππTupe habari umekandwa na ngumi ya ndoige au umewakanda?Nishakandwa kitambo mida ya saa tisa mchana
Haikuwa nafasi yako mkuu tujipange na zingineNishakandwa hapa nasubiri MUCE na IAE
Wameleta maswali 2 kuhusu Auditing ikibase kwenye kada yangu.Vipi kaka maswali wanakaza kwenye NAOT?Mimi kesho ndo naingia.
Fair haiwezi kutokea hata siku moja kwenye lifeIla haya maisha jaman hayako fea kabisa