Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Pole sana mkuu.

Hiki kitu ndio nimejifunza kwenye uwekezaji.

Panya road ni watu wabaya sana, hawa tunaoona wanachomwa moto huku Dar huwa natamani achomwe halafu aipuliwe kabla hajakata roho ili ayasikilizie maumivu halafu arudishwe tena jikoni amalizikie.

Kwa hiyo katika kuwekeza, security ni kipaumbele, iwe ulinzi wa goli au ulinzi wa backup ya mtaji.

Ukiwa na kazi rasmi angalau pana unafuu hata kama mambo yakizingua hautaweza kulala njaa.

Tuendelee kupambana kwa namna mbalimbali tunazoona zinafaa ili tuweze angalau kuwa stable kwenye vijisenti
 
Safi sana kwa kumkataa Babu nipo hapa kijana mwenzio nikubalie mie nakupenda sana jamani Hadi naumwa
Pole sana baby kwa kuandika uzi mrefu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ongezea pia "Kwa sasa nasubiri mchakato wa kazi umalizike nikaanze kazi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumbe huwa hubeti mkuu, sasa nauli za kwenda Dom unatoa wapi?. Kumbuka sisi ni majobless na weng wetu umri wa kuomba nauli ulishapita.
Hiyo kubeti nilimaanisha mkeka upi utatoka kati ya hii ambayo bado haijatoka ya kuitwa written.

Kwenye suala la nauli za kwenda kukandwa, vijiwe vinatuokoa huku kitaa.

Imagine muda huu ndio nimetoka kijiweni ninapopatia vijisenti naelekea kupumzisha fuvu nyumbani[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…