Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu ulisoma coz gani?
 
Ndugu katika mapambano tuendelee kuongeza received mapambano yaendelee, #consistence is the key

Wengine ata received ni tatizo… nimemaliza chuo 2020 kazi zetu zilitoka mara moja tena nafasi 4. Mpaka leo bilabila….

Ila wakati mwingine ni mbaya sana kusoma course ambayo inatolewa na chuo kimoja tu🥲
 
Kwa mtu aliyeajiriwa kwa dip ingali ana bachelor akifika kazini akataka kufanyiwa recategorization inawezekana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…