makofia360
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 776
- 2,392
Placement inayosubiriwa ina subriwa na wengi mno taasisi nyingi hususani zike zenye nafafasi moja na nyingi sana ni tano placement hiyo badoHivi wakuu zile nafasi za kazi UDSM.. Hawajawatoa tu, maana nafasi zikikuwa kama zote Tutorial Assistants.. Naona wenzao SUA tayari, OUT, Mustvtayari had I placements so far wametoa zingine..Hiki chuo cha Mzee wetu wamsoga bado sijafahamu michongo kabisa
Aiseee itashangaza sana tena sanaMust wametoa tena tangazo watatoa interview na placement tukiwa bado tuna subiri uwo mkeka mrefu
Placement inayosubiriwa ina subriwa na wengi mno taasisi nyingi hususani zike zenye nafafasi moja na nyingi sana ni tano placement hiyo bado
Kuna watu Toka mwezi wa nne Hadi leo hatujaitwa kwa usailiMkuu, me nazungumzia usaili kwa chuo cha Udsm sio placement maana ni mda sasa toka walipingaza ajira
Kuna watu Toka mwezi wa nne Hadi leo hatujaitwa kwa usaili
bunge tayari wametoaBinafsi nawadai TRA,bunge, heslb,mambo ya nje,ASA,NAOT na zile za local government.nimepanga nikikosa mojawapo hapo naachana na mambo ya kuajiriwa.
Nimeitwabunge tayari wametoa
wewe TSN uliitwa na hukwendaaaNimeitwa
Ndio,kwani ni kesi?wewe TSN uliitwa na hukwendaaa
HahahaaaaAlafu iyo nafasi moja unakuta ni yako
Ngoja tusubiri shortlisted nitawapa mrejesho kama nitakuwa miongoni ama laUnakuta mungu ndiyo kakuandalia nafasi hiyo iwe yako
Tuombe iwe hivyo mkuu, tukipata nafasi tukatangulize uadilifu kwa kila mmojaHii tabia wanayo hasa wanawake,ila ukikuta mwanaume anatabia za hivyo, za kutoa huduma Kwa nyodo ni wachache sana....Yote juu ya yote, tukifanikiwa tukawe watumishi –wema, ,wenye nidhamu na juhudi katika kutumikia wananchi.
Tuombe Mungu hata tukiitwa itakuwa hatua nzuri sana kwenda kujionea yanayoendelea huko kwenye mchujo.Mimi pia nimeomba NAOT,kama Mchumi na Mtakwimu daraja la pili,kimbembe nafasi ni moja tuu....
Huenda zipo mbioni.Hivi wakuu zile nafasi za kazi UDSM.. Hawajawatoa tu, maana nafasi zikikuwa kama zote Tutorial Assistants.. Naona wenzao SUA tayari, OUT, Must tayari hadi placements.. so far wametoa zingine. Hiki chuo cha Mzee wetu wa Msoga bado sijafahamu michongo kabisa
Kwa kweli...Tuombe Mungu hata tukiitwa itakuwa hatua nzuri sana kwenda kujionea yanayoendelea huko kwenye mchujo.
Sasa hivi kwani upo wapi? Sisi tupo shamba tunalima kitambo sana na hiyo mikeka tunaisubiri. Kilimo kwetu sio chaguo la mwisho.Huu mkeka nisipo kuwepo nasepa zangu shamba, Nianze Kilimo mapemaa
Wizara ya afyaPlacement ijayo itajumuisha
DART,
Mzumbe (MU)
Elimu ufundi stadi (VETA)
Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE)
Muhimbili (MNH)
Ngorongoro (NCAA)
Halmashauri Musoma
Ofisi ya Bunge
Mamlaka ya bandari (TPA)
Chuo kikuu Dar es salaam (UDSM)
Msajili Hazina (TRO)
Chuo cha biashara (CBE)
Huduma ya ununuzi serikalini (GPSA)
Wizara ya Afya
Loading for PDF.........
Unasubiri idara ipi? Tuchangamshe uzi