Mkuu mbona app kwang haufunguki mkuu vipi huko maana hata mm nina katabia ka kusahau vituAh afu umesema hvy ndo nkakukumbuka ila Mm hua sina kawaida ya kumkariri mtu 😂
Ujue date inajitegemea yenyewe, yn pale juu kuna address na tarehe, sasa kukosekana kwa trh cjui itakuaje.
Hapo n kuomba Mungu tuu wasizingatie hapo.
H n tofaut na yule mwngn, mana yeye aliandika kila kitu vzr ila alikosea kuweka address ya muajiri badala ya psrs, sasa n tofaut na ww mana yeye n ishu kubwa ila kwako sio ishu kubwa mana n trh tuu.
Inafunguka mkuuMkuu mbona app kwang haufunguki mkuu vipi huko maana hata mm nina katabia ka kusahau vitu
Huyo mkuu wa taasisi au HR sio final decision maker kwenye usaili. Panel huzingatia vigezo vingi na haina upendeleo.Hii oral kufanyika wilayani na baadhi ya wasaili kutoka wilaya hiyohiyo haijakaa vizuri....Assume mnashindana na mtu anajitolea kwenye taasisi flani na Hr au mkuu wa taasisi yupo kwenye panel hiyo,we mgeni unakuwa na kazi ya ziada
😁 😁Hii oral kufanyika wilayani na baadhi ya wasaili kutoka wilaya hiyohiyo haijakaa vizuri....Assume mnashindana na mtu anajitolea kwenye taasisi flani na Hr au mkuu wa taasisi yupo kwenye panel hiyo,we mgeni unakuwa na kazi ya ziada
Je vigezo gani wanaviangallia mkuu?Huyo mkuu wa taasisi au HR sio final decision maker kwenye usaili. Panel huzingatia vigezo vingi na haina upendeleo.
Kwangu imegoma kabisa aiseeInafunguka mkuu
Kwahy turudi kule kule kwenye safari za Dodoma?Hii oral kufanyika wilayani na baadhi ya wasaili kutoka wilaya hiyohiyo haijakaa vizuri....Assume mnashindana na mtu anajitolea kwenye taasisi flani na Hr au mkuu wa taasisi yupo kwenye panel hiyo,we mgeni unakuwa na kazi ya ziada
Hata kwangu wanasema ipo kwenye maintenanceKwangu imegoma kabisa aisee
Wasaili wa mkoa wa mtwara waende simiyu,wa simiyu waende Lindi itakuwa vizuri zaidi.Serikali Ina pesa😄Kwahy turudi kule kule kwenye safari za Dodoma?
Nikiingia tcra nahamia mikocheni kabisaaisee hiyo interview mtajaza hall 😀 😀
Maintenance inaenda week sasaHata kwangu wanasema ipo kwenye maintenance
Bc tuendelee kwenda dodoma tuu kama n hv unatakaWasaili wa mkoa wa mtwara waende simiyu,wa simiyu waende Lindi itakuwa vizuri zaidi.Serikali Ina pesa😄
Mbona mchangiaji Yuko sahihi tu. Ni nani mwenye Hela kati ya serikali na wewe mkuu ambae licha ya kubana matumizi anazo za kuchezea??Bc tuendelee kwenda dodoma tuu kama n hv unataka
Hakuna mahali nmempingaMbona mchangiaji Yuko sahihi tu. Ni nani mwenye Hela kati ya serikali na wewe mkuu ambae licha ya kubana matumizi anazo za kuchezea??
Je ni kijani hiyo selected?Mbaya zaidi n akaunti yako ina selected for oral halafu unaona kampuni ile ile inatangaza nafasi ya kazi ile ile ambayo una selected f
Hee kumbe kuna rangi tena mbona hamkusemaga jmnJe ni kijani hiyo selected?
baada ya oral check rangi ya neno selected kwenye status! kama ni kijani hiyo ni clue ya asali, ila usiweke matumaini sana! kama bado nyeusi jipe moyo!Hee kumbe kuna rangi tena mbona hamkusemaga jmn
Bongo noma aisee ukipata kazi shukuru Mungu.Tanzania ni worse na too bad hata serikali yenyewe haijawahi admit kwamba hili ni janga kubwa sana kwa vijana wa nchi hii kwa sasa kuliko kitu kingine chochote , Tz ajira ni ngumu na ujasiriamali pia si lelemama ,mpaka kivumbi kitimke haswaa
Mtu akikupa visa ya Marekani na kubaki Bongo hapa wewe utachagua option ipi ?
Si bora hata kwa Trump unaweza kimbizana na gigs huko kwenye warehouses za Amazon ,Walmart nk
Njoo Bongo sasa , madalali tu tunarogana kila siku kusaka riziki ,acha kabisa
Nchi ngumu hii asikwambie mtu
mtu unaweza ukaukana uraiaBongo noma aisee ukipata kazi shukuru Mungu.