Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaWakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.
Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Ni kweli wadau wengi wa huu uzi wakishaingia kundini wanatoweka, akiwemo muasisi wa uzi.Haipendezi inatakiwa wabakie Ili kuwatia moyo wengine Kama alivyo mdau Mmoja anaitwa mwifa kama sijakosea
Sio mbaya tukipeana moyo, mapambano yaendelee@mwifa appreciate broo unatutia moyo sana wasaka nyoka
Asante...sikuwah kuwaza kuwa ntakuwa academicianππHongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapya
1.5M+ unyama sana AiseeAsante...sikuwah kuwaza kuwa ntakuwa academicianππ
Mungu yupo wakuu mshahara nilioambiwa utaingia, sijaamini aisee
Jitahidi uweke page moja kwenye barua, maneno mengi ya nini!? Izo details wakizitaka wanazipata hapo kwny portal account yako mkuu.. Kama huoni cha kupunguza basi compress file itoke single page..Hilo sio tatizo, tatizo nshaona na hiyo p. O. Box
Sawa.Jitahidi uweke page moja kwenye barua, maneno mengi ya nini!? Izo details wakizitaka wanazipata hapo kwny portal account yako mkuu.. Kama huoni cha kupunguza basi compress file itoke single page..
Ndo umwambie ivo aandike vizuri mbona hapo juu kuna space kubwa sana? Ajitahd kuweka just a neat single page.. Japokuwa not necessarily lakin hivi vitu vidogovidogo vinaweza kumchelewesha sana.Sawa.
ila n barua ya mtu ameandika maneno yake Then mm nika-copy & paste
πNdo umwambie ivo aandike vizuri mbona hapo juu kuna space kubwa sana? Ajitahd kuweka just a neat single page.. Japokuwa not necessarily lakin hivi vitu vidogovidogo vinaweza kumchelewesha sana.
Asante...sikuwah kuwaza kuwa ntakuwa academicianππ
Mungu yupo wakuu mshahara nilioambiwa utaingia, sijaamini aisee
Kwahy sasa hv ataanza kula mali safi za chuo πWale wa UTI unaanza kuwaaga mdogo mdogo.πππ
Kwahy sasa hv ataanza kula mali safi za chuo π
Awe makini na kaswende tuu πKabisaa! wale watoto waliokua wabapanda school bus. Ayo ni malupu lupu pia kwa walimu wamavyuoni. π
Page zote zinazotaja mishahara humu ni za uongo aisee....watu wana siri kwenye mshahara...1.5M+ unyama sana Aisee
Hio kitu hairuhusiwi kabisa...ni sawa na kula mtaji kweny biasharaWale wa UTI unaanza kuwaaga mdogo mdogo.πππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ yaan Engineer hali kama unavyoijua jua linawaka sana hapa dodoma najikuta sina ata Mia,vocha zinanikwepa nyieee maisha haya,,,msuli wapi yaan nkisoma kidogo akili inahama na hizo maksi jamn nmewaza wametoa mtihani wa aina gani majamaa haya adi Engineer kala 2 kheeeπππ,haiwezekani,wananifanya kila ninapotaka kusoma nasema hapa sio hawatoi hapaπππAisee , ukafundishe chuo na zile namba za viatu ? π€£π€£π€£π€£
Unawajua utumishi vizuri lakini ?
Ni mwendo wa Re-advertised tu.
Kha ! Ila Utumishi , ile tatu na mbili kwa kweli sijapenda , ule ni udhalilishaji .
Naenda kufungua kesi mahakamani kuwadai utumishi fidia ya bilioni , siwezi kula mbili mimi ,mtu mzima Engineer na masharubu kwenye mashavu halafu hawa Kenge wanipe marks mbili , no way ! ππππππ
Wameharibu saikolojia yangu na heshima pia.
Electrical engineers humu ni mimi ,wewe na Marabiosh .
Mzima lakini Rahsully ?
Kimya sana msuli sana nini wa kwenda kupambana na wakuda TAA na Temesa ?
Safi sana mkuu, umeenda kuripoti kazin ukiwa na mawazo ya kulipwa 1M unakutana na 3M π₯Page zote zinazotaja mishahara humu ni za uongo aisee....watu wana siri kwenye mshahara...
Ukiona kaz we omba acha kuangalia mshahara
Humu ndani unaambiwa kaz haifai..haina malupulupu, mambo kibao, kumbe dogo kakaa kwa shemeji anaandika tuSafi sana mkuu, umeenda kuripoti kazin ukiwa na mawazo ya kulipwa 1M unakutana na 3M π₯
Vip ni minono zaidi ya wanazengwe wabavyotupangaga au ni midogo zaidi ya iyo?Page zote zinazotaja mishahara humu ni za uongo aisee....watu wana siri kwenye mshahara...
Ukiona kaz we omba acha kuangalia mshahara