Utumishi kwenye suala la kuchelewesha mchakato wa ajira ndipo walipofeli, ila kwenye haki wapo vizuri, ukifanya interview ukafaulu hakuna longolongo unapangiwa kituo cha kazi. Huko kwingine ambapo wanaajiri wenyewe vimemo huwa ni vingi.BOT,TRA,TANESCO nadhani walikuwa sahihi kujitoa utumishi.
Kosa lingine kubwa Tamisemi kupeleka ajira PSRS.
Kwa hali ya sasa bora vimemo.Utumishi kwenye suala la kuchelewesha mchakato wa ajira ndipo walipofeli, ila kwenye haki wapo vizuri, ukifanya interview ukafaulu hakuna longolongo unapangiwa kituo cha kazi. Huko kwingine ambapo wanaajiri wenyewe vimemo huwa ni vingi.
Sina uhakika kama ni hao tu. Binafsi nina received za mwezi wa tano na mwezi wa sita hadi leo kimya. Fikiria unasubiri kuitwa tu interview zaidi ya miezi mitano. Huo ndio ucheleweshaji wa mchakato wa ajira. Yaani hadi unasahau.Kwa hali ya sasa bora vimemo.
Mchakato wa ajira uliotumia muda mrefu mwaka huu ni TANAPA na BUNGE pekee.
Wengine wanagonga miezi 6 hadi mwaka.
Mimi naona bora vimemo tu
Kabla marehemu hajafika aendapo washaweka hapo mtu waokuna mtu kafariki lakini utashangaa nafasi haitangazwi
Huo ndio mfumo wa maisha.Kabla marehemu hajafika aendapo washaweka hapo mtu wao
wakimuweka mtu wao bila kufata haki nae akae mkaoKabla marehemu hajafika aendapo washaweka hapo mtu wao
Mm nilishangaa oral yangu walikuja kuita watu baada ya miezi 4 ajira walitangaza 50 ila waliita 24.Sina uhakika kama ni hao tu. Binafsi nina received za mwezi wa tano na mwezi wa sita hadi leo kimya. Fikiria unasubiri kuitwa tu interview zaidi ya miezi mitano. Huo ndio ucheleweshaji wa mchakato wa ajira. Yaani hadi unasahau.
Kaka Marabiosh mikeka Hakuna sikuizi.wakimuweka mtu wao bila kufata haki nae akae mkao
Jamaa jumamosi iliyopita katoka kusimamia usaili wa Kigamboni wakati wa kurudi Dodoma kapata ajali na kufariki, aliajiriwa mwaka janaView attachment 3117569
Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anatoa pole kwa familia, watumishi, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuondokewa na mtumishi wake, Ibrahim Amiri ambaye amefariki dunia kwa ajali ya gari.
Sisi sote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Hawajali mkuu Tyr washamueka mtu akilini wanajua ni yeye alfu wataitwa interview gereshawakimuweka mtu wao bila kufata haki nae akae mkao
hawa jamaa sjui wamekuaje yaani wanaboa hata vimulimuli hawazimiKaka Marabiosh mikeka Hakuna sikuizi.
Wasenge tu.hawa jamaa sjui wamekuaje yaani wanaboa hata vimulimuli hawazimi
Wote lazima tushuke futi 6.Jamaa jumamosi iliyopita katoka kusimamia usaili wa Kigamboni wakati wa kurudi Dodoma kapata ajali na kufariki, aliajiriwa mwaka jana
yaani naona huu mwaka umeshaisha aisee.huu mwezi watatoa pdf 1 wataligawanya mara 2 mwez wa 11 la afya wa 12 pdf 1 mwezi wa 12 pdf 1 walimu mwakaniWasenge tu.
Msiba wataufanya wa taasisi tukutane mwezi ujao.
Mwaka una kimavi database mm ndo nilikuwa naitegemea kuliko hata hii ya juzi direct.yaani naona huu mwaka umeshaisha aisee.huu mwezi watatoa pdf 1 wataligawanya mara 2 mwez wa 11 la afya wa 12 pdf 1 mwezi wa 12 pdf 1 walimu mwakani
Weka akiba ya maneno mkuu,,,,unauliza wewe nani? Soma id yangu.Wewe ni nani ?
Soon unaijua?
Achana na mm.Weka akiba ya maneno mkuu,,,,unauliza wewe nani? Soma id yangu.
alifanya usaili kweli huyu..?Jamaa jumamosi iliyopita katoka kusimamia usaili wa Kigamboni wakati wa kurudi Dodoma kapata ajali na kufariki, aliajiriwa mwaka jana