Hakuna mahali nmewadharau waalimu.Kwahiyo wewe umefundishwa na watu wasio na akili? Heshimu waliokuongoza kufika ulipo sasa. Akikosea mwalimu au polisi au mwanajeshi au mwanasheria au mwasibu mmoja usihukumu wote kwa kosa au uzembe wa mtu mmoja kisa anataaluma flan basi ionekane watu wete wenye taaluma hiyo nao ni wakosaji wa hilo kosa.
We jamaa na ww usibishe psprs mzigo umekuwa mkubwa wamepwaya kwa kiasi kikubwa mnoo mzigo ni mkubwa sana wameshindwa kuendana na muda wangepunguza mambo baadhi hizi za halmashauri sijui watendaji waendesha ofisi wangeachaSasa kama bado wapo kwenye process zao, ww unatakaje?
Guys, mnalalamika Kwenye vitu vya kipuuzi mno aisee
N mara ngapi mnalalamika Then what next?
Kwan hy idadi cjui laki n mara ngapi wanadeal nao, kwahy hizi za ualimu na afya ndio imekuwa story? Ndo mana waalimu mnadharauliwa mana akili hamna.
Achana na hichi kichwa kinapenda ubishi sana .We jamaa na ww usibishe psprs mzigo umekuwa mkubwa wamepwaya kwa kiasi kikubwa mnoo mzigo ni mkubwa sana wameshindwa kuendana na muda wangepunguza mambo baadhi hizi za halmashauri sijui watendaji waendesha ofisi wangeacha
Unaongea kwa jazba sanaSasa kama bado wapo kwenye process zao, ww unatakaje?
Guys, mnalalamika Kwenye vitu vya kipuuzi mno aisee
N mara ngapi mnalalamika Then what next?
Kwan hy idadi cjui laki n mara ngapi wanadeal nao, kwahy hizi za ualimu na afya ndio imekuwa story? Ndo mana waalimu mnadharauliwa mana akili hamna.
kumbe mbaga jr anafurahia jinsi tunavyokipatapata🤣🤣🤣Achana na hichi kichwa kinapenda ubishi sana .
Kwanza uwa anafurahia kuona watu wanateseka.
Wewe mm jamaa namjua anaoenda sana watu wateseke halfu kumbe na yeye anateseka kama sisi tu.kumbe mbaga jr anafurahia jinsi tunavyokipatapata[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tungekua mbali sana aiseeWewe mm jamaa namjua anaoenda sana watu wateseke halfu kumbe na yeye anateseka kama sisi tu.
Speed ya utumishi ya kutoa mikeka kama mwezi wa saba ungekuwa hadi leo unadhani tungekuwa wapi?
Lakini manga yeye anaongelea michakato.tungekua mbali sana aisee
Binafsi hakuna mkeka wowote ninaousubiria kutoka kwao zaidi ya kusibiri kuitwa interview miezi mitano sasa imepita.ila Utumishi wanzingua kisenge, na huu ni ukweli usiopingika ajira za afya na ualimu zimemewaelemea, hamna ufanisi wa kazi tena.We jamaa na ww usibishe psprs mzigo umekuwa mkubwa wamepwaya kwa kiasi kikubwa mnoo mzigo ni mkubwa sana wameshindwa kuendana na muda wangepunguza mambo baadhi hizi za halmashauri sijui watendaji waendesha ofisi wangeacha
Wa data base au😂😂Utumishi wana received yangu moja miaezi mitano sasa,,, na ninasikia kwenye ile nafasi kuna watu wanafanya kazi tayariii,,,, 😂😂😂😂😂
Kuachana na hizi za waalimu na afya, n mara ngap utumishi wanachelewa kutoa pdf? Huu Uzi umeanza lini, kwan kipind hicho waalimu na afya walikuwa utumishi?We jamaa na ww usibishe psprs mzigo umekuwa mkubwa wamepwaya kwa kiasi kikubwa mnoo mzigo ni mkubwa sana wameshindwa kuendana na muda wangepunguza mambo baadhi hizi za halmashauri sijui watendaji waendesha ofisi wangeacha
kumbe mbaga jr anafurahia jinsi tunavyokipatapata🤣🤣🤣
Sasa mm nafurahi vp wakati mm n jobless?Wewe mm jamaa namjua anaoenda sana watu wateseke halfu kumbe na yeye anateseka kama sisi tu.
Speed ya utumishi ya kutoa mikeka kama mwezi wa saba ungekuwa hadi leo unadhani tungekuwa wapi?
Ni kamzozoUtumishi wana received yangu moja miaezi mitano sasa,,, na ninasikia kwenye ile nafasi kuna watu wanafanya kazi tayariii,,,, 😂😂😂😂😂
Hii taasisi sijui ina upungufu wawatumishi??🤔🤔 lakn hata hivyo mlundikano wa kazi ni nyingi kama kuna changamoto waangalie utaratibu mwingine wa ku solve hizi issue. Hivyo ni wazembe hawawajibiki ipasavyo vitengo vyao vyote ki ujumlaBinafsi hakuna mkeka wowote ninaousubiria kutoka kwao zaidi ya kusibiri kuitwa interview miezi mitano sasa imepita.ila Utumishi wanzingua kisenge, na huu ni ukweli usiopingika ajira za afya na ualimu zimemewaelemea, hamna ufanisi wa kazi tena.
kama hujajiandaa unatoaje tangazo la kazi????
Swali zuri mkuu ki ufupi tu utumishi wamepwaya sana sana kama wameshindwa KUFANYA KAZI KWA WAKATI NA HAWAWEKI WAZI CHANGAMOTO NINI NINA RECEIVED INA MIEZI MITANO NA BADO HAIJULIKANI LINI WATAITA INAKATISHA TAMAAKuachana na hizi za waalimu na afya, n mara ngap utumishi wanachelewa kutoa pdf? Huu Uzi umeanza lini, kwan kipind hicho waalimu na afya walikuwa utumishi?
Sasa ndo usione jambo la kawaida kubali tu.Kuachana na hizi za waalimu na afya, n mara ngap utumishi wanachelewa kutoa pdf? Huu Uzi umeanza lini, kwan kipind hicho waalimu na afya walikuwa utumishi?
Taasisi ifutwe 🤣🤣🤣🤣Sasa ndo usione jambo la kawaida kubali tu.
Utumishi wamepuyanga.
Usiite mchakato