TAs mkuu nilijaribu bahati naona kimyaaHyo ni kada gan maana wengine tuna za mwez wa sita hamn changes
Pia usifanye kitu cha tofauti mbali na maelekezo uliyo pewa kama vile kufungua dashboard mpya au kuminimize dashboard maana utakuwa umetoka njee ya utaratibu ivyo inaweza pelekea kushindwa kumaliza maswali Yako maana mtiani utakuwa umejikusanya automaticTukumbushane kidogo: wale ambao tunatarajia kuingia kwenye written interview jitahid ukumbuke username yako na password unayotumia kuingilia ajira portal maana izo ndo zitatumika kuingilia katika account yako ya kufanya mtihani.
Na tujitahid tukifika mazingira ya mtihani tuzime simu zetu na.kuziweka kwenye mabegi hata kabla aujaambiwa zima simu pia jitahid uwahi mapema ikiwezekana dk 40 kabla ya mda ulioandikwa.
Khasnteni kila la kheli na mungu atusaidie ili woote wa humu tuweze pata nafasi tulizoomba.
Hivi vyuo vya kati vina marupurupu kweli?
Hivi ajira za afya mwakani zitatangazwa kweli?
Nahisi nimepishana na gari la mshahara mwaka huu
Pia usifanye kitu cha tofauti mbali na maelekezo uliyo pewa kama vile kufungua dashboard mpya au kuminimize dashboard maana utakuwa umetoka njee ya utaratibu ivyo inaweza pelekea kushindwa kumaliza maswali Yako maana mtiani utakuwa umejikusanya auto
Necta marupurupu ya kutunga mitihani na kusimamia yapo ya kutosha nauliza kuhusu vyuo vya katiMwalimu na marupurupu wapi na wapi mkuu!!
Actuarial science mkuu coz tough lakini haitambuliki utumishiNi kozi gani chief
Tunaitwa subaru boys, mwakani tunafestival yetu😂😂Najua wanaodrive hawana muda wa kushika simu kwa sasa[emoji23][emoji23][emoji23]
hii kozi bora hata aliesoma bs in statistics, actuarial ni nzuri kwenye makaratasi kama ilivyo petroleum lakini ground hali ni mbayaActuarial science mkuu coz tough lakini haitambuliki utumishi
Imebidi nigoogle. Naona soko lenu lipo insurance companies, investment, consultation n.k.Actuarial science mkuu coz tough lakini haitambuliki utumishi
Upo sahihi mkuu ni bonge la kozi uje ground sasa hamna kitu kabisahii kozi bora hata aliesoma bs in statistics, actuarial ni nzuri kwenye makaratasi kama ilivyo petroleum lakini ground hali ni mbaya
Yah kazi zetu ni kutengeneza mathematical rate kwenye insurance companies ndo tumejishkiza hukoImebidi nigoogle. Naona soko lenu lipo insurance companies, investment, consultation n.k.
Mbona in theory hamkutakiwa kustruggle
Utumishi hawatutambui mkuuImebidi nigoogle. Naona soko lenu lipo insurance companies, investment, consultation n.k.
Mbona in theory hamkutakiwa kustruggle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunaitwa subaru boys, mwakani tunafestival yetu[emoji23][emoji23]
Anyway, hope itakuja kua sawa. Mfano mimi pia kozi yangu haikua ikitambulika na Lawson ni system ya kupanga mishahara serikalini.Utumishi hawatutambui mkuu
Kupanga ni kuchagua.Ila usijifunge sana just lower your pride ili usonge mbele Vema kujiuliza huo mgomo ulio nao una faida gani? Focus kwenye malengo yako usijilinganishe na watu wengine.Pole sana mkuu, mimi siwezi kufanya kazi Government. Kwa sababu mpaka sasa na experience ya 6 years. Then nitoke nilipo then labda niende let say Tanesco nianze na salary ya 1.8M huku waliomaliza 2021 wanachukua zaidi ya hio then mimi niwe chini yao. Siwezi kukubali hicho kitu. Maana ukiajiriwa Serikalini hata uwe na experience ya Miaka 10 ya private sector wao wanakuchukulia kama fresh hicho kitu siwez kukikubali maisha yangu yote.
Ahaa Basi wapigie waeleze soon ili uongezwe kwenye supplenentary list ukafanye huu usaili.WahiOkay sawa kiongozi lakini ninachojiuliza ni kuwa nilikuwa shortlisted kwa post tano nyuma kabla ya hizi za August mwaka huu.
Cheti cha kuzaliwa kilikuwa certified chini ya district registrar .
SahihiKwahiyo unaweza ukawa umeomba shule ya msingi isimikinyi ukajikuta umepangwa Necta
Kwa vipi? Sifa za msingi za hiyo kazi kama anazo basi anafundishika na kazi ataiweza. Na ni mtanzania usisahau hilo nchi ni yetu sote anaweza kufanya popote hajaandikiwa kushika chaki tuKuna watu zari kama hili limewaangukia.
Ingawa sio approach nzuri sana na inawakosesha waajiri potential and competent employees.