Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tunaelekea kwenye uchaguzi Kiongozi......
Ukipita huu.....
Ndo maana mkeka wa juzi walitoa database 2023
 
Mkuu tunza hii post nasema ivi mwezi wa pili mwishoni majina yanatoka Kisha week ya kwanza ya mwezi wa tatu watu wanafanya saili Kisha mwezi wa tano, sita na Saba watu wanaingia kazini
Apo kwanza ncheke mkuu hii imeenda waalimu ndio siasa mkuu CCM kidumu chama cha mapinduzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…